Hii si changamoto yangu, nimesema nilichokishuhudia , anyway sijui kosa langu ni lipiDokezo langu: inasikitisha ikiwa hadi mwanajf hajui kuhusu utaratibu wa wanaotakiwa kuhesabiwa. Je, huko sigimbi?
Mbwembwe zote zile za hamasa zilikuwa na faida gani ikiwa watu hawajui utaratibu?🤔
Duh, sasa tunawasaidiaje watu wa takwimu- NBS?Huyu aliyefika kwangu saa 5 hajakutana na karani popote, in other words wamesafiri usiku kucha
Kabisa. Leo siku ya mapumziko makarani wa sensa walipaswa kupita kila kaya na kugawa makaratasi ya madodosoZoezi mmeliharibu wenyewe
Huyu hawezi kuelewa kabisaMzee wewe mgumu kuelewa
Ahaaa huku tandale ingekuwa vurugu wangechafua chafua kisingesomeka kituKabisa. Leo siku ya mapumziko makarani wa sensa walipaswa kupita kila kaya na kugawa makaratasi ya madodoso
. Kisha wananchi wayajaze na kuyaancha nyumbani. Ili kuanzia kesho makarani wangekuwa wakipita na kukuta taarifa zote za kaya
Wamehesabiwa kwenye vituo vya mabasiHuyu aliyefika kwangu saa 5 hajakutana na karani popote, in other words wamesafiri usiku kucha
Basi wangeongeza vishikwambi na makarani. Au wangepunguza maswali toka 100 ya Sasa na kubakia 3 tu.Ahaaa huku tandale ingekuwa vurugu wangechafua chafua kisingesomeka kitu
Maswali ni mengi sana yameharibu zoeziBasi wangeongeza vishikwambi na makarani. Au wangepunguza maswali toka 100 ya Sasa na kubakia 3 tu.
Ili ndani ya dakika 10 kaya 5 zihesabiwe.
Kupika data naina kuna kaugumu sana. Kwanza tablet wanayotumia imeungwa na GPS. Nyumba utakayofika kuhesabu imeshasajiliwa kuwa ni ya nani. Kama ukirekodi kuwa umemhesabu mtu flani kwenye makazi flani na taarifa zikatofautiana na zilizoko kwenye rekodi, waweza kujitengenezea msala.These are going to cook data. hawatampata mtu kuanzia kesho, tumepoteza muda kuwasubiri imetoka hiyo .. rubbish! johnthebaptist
Maswali kama haya sikuona ulazima wakeMaswali ni mengi sana yameharibu zoezi
Ndugu Lanlady , huo ulioandika ndio ukweli.Kwa walioko safarini ikiwa walilala nyumba za wageni au kituo cha bus, ilipaswa karani apite usiku kuwahesabu na wangepewa beji maalum yakuonesha kuwa wamehesabiwa (dodoso lao ni maalum) Kama alilala nyumbani, basi hapo alipolala wanapaswa kutoa taarifa zake.
Dokezo langu: inasikitisha ikiwa hadi mwanajf hajui kuhusu utaratibu wa wanaotakiwa kuhesabiwa. Je, huko sigimbi?
Mbwembwe zote zile za hamasa zilikuwa na faida gani ikiwa watu hawajui utaratibu?🤔
nasikia tatizo vishikwambi vichacheKutoka moyoni tumekwazika tumesubiri makarani kutwa nzima kumbe ni zoezi la siku saba.
Kama ni zoezi endelevu kwanini leo ikawe mapumziko,
Sensa ya kuhesabu siku saba itakupa majibu ya uongo maana watu hawatulii sehemu moja kama mawe
Kuna watu hawatahesabiwa au watahesabiwa mara mbili bila kujijua
Mfano leo nipo kwangu Lushoto leo hamjaja. Kesho nitakuwa safarini Ludewa ndio mtakuja kwangu Lushoto, nikifika Ludewa nitakuta mmeshapita, hapo nani kamchenga mwenzake.
Zoezi mmeliharibu wenyewe
Unafahamu kitu inaitwa Recall bias? Nani atakupa taarifa sahihi ya kilichotokea siku 7 zilizopita (ikiwa itaishia siku ya saba?) Bora wangepitisha karatasi zenye kukusanya taarifa katika kaya, ili hii leo raia wangezijaza halafu wakaja kuzikusanya ndani ya siku 7 zao na kuweka marekebisho panapostahili.Sensa ni ama mahali unaposhinda wakati wote (hii kufanyika nchi zilizoendelea)
Au Sensa ni mahali ulipolala usiku wa kuamkia tarehe 23 Agusti, 2022. Hii ni sensa ya nchi zinazoendelea
Kwahiyo, we chunga tu tarehe 23 Agusti ulipoamkia hata wakija siku ya 7 majibu ni yale yale
Kaka hilo la kusema watu hawaelewi, watanzania wangapi wanaelewa? Wana elimu hiyo ya kuelewa? Hata maswali tu ya sensa yanazunguka WhatsApp. Kuna mtu hata simu hana. Si bora wangekusanya hizo taarifa manually tu.Watu kweli wagumu kuelewa.
Takwimu zinazochukuliwa ni zile za usiku wa kuamkia tar 23. Hivyo hata wakija kesho bado wataomba taarifa za usiku wa kuamkia tar 23.
Ndio maana wanasema kama unajijua mkuu wa kaya hutikuwepo wakija basi acha taarifa hapo nyumbani zihusuzo usiku wa kuamkia tar 23.
Upande wa data usiwaamini sana ccm. Uhesabiwe au laah data zitapatikana tuu!Kutoka moyoni tumekwazika tumesubiri makarani kutwa nzima kumbe ni zoezi la siku saba.
Kama ni zoezi endelevu kwanini leo ikawe mapumziko,
Sensa ya kuhesabu siku saba itakupa majibu ya uongo maana watu hawatulii sehemu moja kama mawe
Kuna watu hawatahesabiwa au watahesabiwa mara mbili bila kujijua
Mfano leo nipo kwangu Lushoto leo hamjaja. Kesho nitakuwa safarini Ludewa ndio mtakuja kwangu Lushoto, nikifika Ludewa nitakuta mmeshapita, hapo nani kamchenga mwenzake.
Zoezi mmeliharibu wenyewe