Makonda adaiwa kukataa nyumba ye Serikali, inasemekana anaishi Hoteli ya Nyota 5

Kwa hiyo mlitaka aje kuwabeba mkalale nae hapo hotelini?😂😂😂😂
 
 

Attachments

  • IMG-20240411-WA0525.jpg
    54.1 KB · Views: 1
Huyo mshamba kajulia kuwa pumbaza wakubwa , so anatoboa kimagumashi magumashi Kwa ujinga na hofu za KIpumbavu,bashite kajua hofu za viongozi anacheza nazo anaishi, shame to leaders
 
Hata kipindi kile chadema mnateseka mwenyekiti mboe alimdrop wema sepetu kia na kwende kujivinjali nae
 
Huyo mshamba kajulia kuwa pumbaza wakubwa , so anatoboa kimagumashi magumashi Kwa ujinga na hofu za KIpumbavu,bashite kajua hofu za viongozi anacheza nazo anaishi, shame to leaders
Wewe endelea kupiga Kelele tu humu ndani! Makonda anakaa kwake Masaki akiwa Dar akiwa kwao Mwanza anakaa Capri Point kwake unataka akiwa Arusha akae Lodge ili kukufurahisha wewe mjanja uchwara!
Mshamba kakukuta mjini kakuzidi mafanikio nikujurishe tu katika watu wenye Pharmacy kubwa hapa nchini Makonda yupo na kwenye Real Estate ukifika Capri point Mwanza utalia maana una wivu sana na wanaume!
 
Bavichaa na CHADEMA wanapenda sana uzushi na kutokutumia akili kufikiri. Kila kitu kina taratibu na utaratibu wake wa kuingia katika ofisi fulani ya umma au nyumba ya serikali. Nyumba ya serikali hufiki tu na kukurupuka kuingia utafikiri unaingia kwenye uwanja isoio na Uzio. Shida na tatizo la CHADEMA na vijana wake ni kukurupuka,mihemuko,na kutofanyia utafiti taarifa wanaporishwa na kupotoshwa. Pili ni ukurupukaji na uropokaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…