Makonda ajibu tuhuma za kumpiga risasi Tundu Lissu. Asema Lissu ana matatizo ya akili, aende Milembe

Huna akili maana haujui report ya makinikia ilipokelewa tarehe ngapi na Tundu Lissu alishambuliwa tarehe ngapi
 
Huna akili maana haujui report ya makinikia ilipokelewa tarehe ngapi na Tundu Lissu alishambuliwa tarehe ngapi
Video ya tukio la Makonda siku aliyoshambuliwa Lissu iko mahali popote? Je, haiwezekani Makonda alikuwepo Dsm, halafu akapanda ndege kwenda Dodoma kuwahi shambulizi la Lissu?
 
hata mimi siku hizi simsikilizi Lissu na niliwahi kusema hivyo huko nyuma; ni mropokaji sana kama vile siyo mwana sheria. Wakati wa kesi kati ya Zito Kabwe na CHADEMA, Lissu aliongoza jopo la wanasheria wa CHADEMA wakati Zitto akiwakilishwa na wakili Albert Msonda peke yake, na CHADEMA ikapigwa chini
 
Kipindi hicho alikuwa na bifu na marehemu ruge mutahaba.
Yeye ndio ana matatizo ndio maana anapita kila kanisa anataka aombewe.
●Akiona mtu kabeba biblia anamkimbilia amuombee
●Akiona mtu kavaa kanzu +barakashia anampigia magoti kuomba aombewe.
●Amewanafikia Nape na Makamba
●Huyu mtu ni mfitini sana.
 
Hapa amepiga “fix” yaan magu awepo ikulu na kupoea maripot yeye awe anamipango mingine.
 
Ungenyamaza ndugu yangu, ungenyamaza mtani wangu. Wakati mwingine kunyamaza ni busara sana. Ni kuonesha una akili. Si wakati wote wa kuongea. Si wakati wote wa kujibu

Nyamaza.ni bora ukanyamaza ukasemekana hujui. Kuliko ukazungumza na kuthibitisha pasipo shaka kumbe ni kweli hujui. Ungenyamaza. Akili ya kuongea huna,akili na busara ya kujibu huna.

Kwa nini usingenyamaza? Unayakoroga maji yaliyotulia. Unayatindinganya. Maji yalianza kutulia. Unayatikisa tena. Why?kwa nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…