Makonda akabidhi ofisi kwa RC Kunenge, adai ofisi hiyo ina majungu mengi

Apumzike kwa amani.
Mwambieni asisahau kukabidhi na BIO ya Twitter inatuchanganya
Hii ndo inadhihirisha Dar ni Jiji linaloshikiria roho ya Nchi ofisi imekbidhiwa utadhani Laizer anatoa madini kwa serikali tukio live kabisa..
1.Mh Rais Magufuli
2.Mh Samia Suluhu
3.Mh Kassim Majaliwa
4.Rc wa Dar
Aende zake hana mpya piga chini ata akigombea udiwani wa kolomije.
na watu wengi wa Dar humchukia sababu huwa anawapa za uzo
Ajiandae kugombea serikali za mitaa,kumbe kajenga Kigamboni.
Akatunze hilo broiler lake.
 
Kanunua nyumba moja ya serikali pande za ma saki nadhani ilikuwa kwenye matengenezo makubwa utasikia vijana wa Lumumba tataambiwa wivu wa kike, takukuru tunawasubilia.
Kasema mwenyewe atakuwa anaishi Kigamboni. Huko Masaki labda atapangisha.
 
Huyo ni mpiga domo. Siyo mchapa kazi. Projects zake zote alizopigia domo hakuna hata moja alofanikisha mpaka mwisho. Hivi walimu wanapanda daladala bure ?Ombaomba wale kwenye foleni wamekwisha ?Wajane ?Wale watoto walikusanywa baba zao wawahudumie ?

Walimu wanapanda bure mradi awe na kile kitambulisho.

Ombaomba hili suala hakuna aliyeliweza ni wananchi wangeacha kuwapa ombaomba hela lingeisha ila tunajifanyaga tuna huruma sana kwa kuwapa vimia mia.
 
Amesema mipango yake ya kupima tezidume kaya kwa kaya ipo palepale tatizo mambo yamekuwa mengi
 
Acheni umbeya.
 
Mkuu wa mkoa mstaafu Paul Makonda amesema katika uongozi wake jijini Dsm alifanikiwa kurejesha serikalini nyumba zaidi ya 50 zilizouzwa kinyemela na kifisadi.

Makonda amemshukuru Mungu kwa kumpa ujasiri.

Maendeleo hayana vyama!
 
Hivi huyu kizibo anapojiita yeye ni mstaafu hua anamaanisha nini?

Mtu anastaafu vipi ilhali hajafikisha hata miaka 55.

Au ni ule ubashite wake at its best??!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…