Makonda ana tabia zote za Hayati Magufuli



Magufuli, na Makonda wote hawafai.
 
Hana lolote...

Sio mwanasiasa, sio msomi, sio visionist, he is just an opportunistic political lightweight...

Huwa simshangai Makonda bali huwa nawashangaa wanao ona jamaa ni intelligent...
Siku hizi usomi huu wa waliotusomesha wazungu ni Upuuzi tupu. Mtu ni Pof lkn anaingia mkataba wa kipuuzi na mzungu usomi wake ni sawa na chief Mangungo tu nchi inahitaji Visionilist na Mtendaji basi ndio maana ulimwengu wa leo sio kuangalia IQ bali EQ na SQ basi
 

Kwamba hujasoma maneno yote niliyoyaandika au umesoma kwa kuruka kwamba umeishia kwenye sio msomi, lakini hukufika kwenye sio visionist?
 
Hana lolote...

Sio mwanasiasa, sio msomi, sio visionist, he is just an opportunistic political lightweight...

Huwa simshangai Makonda bali huwa nawashangaa wanao ona jamaa ni intelligent...

Na wewe pia wanakushangaa kama unavyowashangaa
 
tatisho shule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…