The Lastdream
JF-Expert Member
- Jan 23, 2024
- 1,970
- 4,616
- Thread starter
- #41
Kweli kabsa mkuu.wanasema ogopa sana mjinga mwenye confidence.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabsa mkuu.wanasema ogopa sana mjinga mwenye confidence.
Lakini makonda anayo ile spirit ya magi mkuu au unaonaje?
Ukimaliza kutukana na usingizini utakufikia kijana, ulale unono.We tulia zuwena, hizo tabia za malaya, wenzako wote wameleewa kama ujaelewa si lazima uchangie mdogo wangu.
Mtu mzima pipa.
Sawa ndugu.Ukimaliza kutukana na usingizini utakufikia kijana, ulale unono.
📌📌📌Sema anakufaa sio kutufaa.
Madam tumsapoti makonda ni kiongozi haswa
Habari wanajamvi?
Nilikuwa naangalia katibu mwenezi Paul Makonda yupo anyara Leo na Leo analala anyara ili kesho aende kelele kusikiliza matatizo ya wananchi.
Ninaona kabisa zile itikadi za Magufuli anazo kwa asilimia zote. Na haya ma game Makonda anayaweza sana.
Kuna mama alikuwa anadai tangu 2014 hakulipwa, Makonda akamuita Mkurungezi akawa anajinga’ta akaja mkuu wa mkoa akasema mheshimiwa tunamlipa mama deni lake sababu ni la muda mrefu.
Hivi Makonda hafai kweli ili tupate kariba ya mtu kama Magufuli?
Madam tumsapoti makonda ni kiongozi haswa
Hana lolote...
Sio mwanasiasa, sio msomi, sio visionist, he is just an opportunistic political lightweight...
Huwa simshangai Makonda bali huwa nawashangaa wanao ona jamaa ni intelligent...
Siku hizi usomi huu wa waliotusomesha wazungu ni Upuuzi tupu. Mtu ni Pof lkn anaingia mkataba wa kipuuzi na mzungu usomi wake ni sawa na chief Mangungo tu nchi inahitaji Visionilist na Mtendaji basi ndio maana ulimwengu wa leo sio kuangalia IQ bali EQ na SQ basiHana lolote...
Sio mwanasiasa, sio msomi, sio visionist, he is just an opportunistic political lightweight...
Huwa simshangai Makonda bali huwa nawashangaa wanao ona jamaa ni intelligent...
Magufuli kafanya mengi mkuu.Magufuli, na Makonda wote hawafai.
Naunga mkono hojaUkichanganya na akili ndogo, unapata kituko
Huyu akiingia madarakani tunapanda mlimani kumwomba Mungu aamue mwenyewe kama alivyoa amua kesi kipindi cha maguHii nchi inahitaji watu wakatili tu kuiendesha maana Kuna wajinga wengi wanaichezea hii nchi
Siku hizi usomi huu wa waliotusomesha wazungu ni Upuuzi tupu. Mtu ni Pof lkn anaingia mkataba wa kipuuzi na mzungu usomi wake ni sawa na chief Mangungo tu nchi inahitaji Visionilist na Mtendaji basi ndio maana ulimwengu wa leo sio kuangalia IQ bali EQ na SQ basi
Nimesoma mkuu nikaja na jibu hilo. Ndaga fijoKwamba hujasoma maneno yote niliyoyaandika au umesoma kwa kuruka kwamba umeishia kwenye sio msomi, lakini hukufika kwenye sio visionist?
Magufuli kafanya mengi mkuu.
Kwanin hafai?
Sema anakufaa sio kutufaa. Makonda hana hata uwezo wa kuwa mtendaji wa kata. Wewe unaangalia kelele za Jukwaani sisi tunaangalia uwezo halisi bila kuwekwa
Hizi posts analipia?Madam tumsapoti makonda ni kiongozi haswa
kocha wa timu ya judo tanzania.Makonda ndiyo nani?
Hana lolote...
Sio mwanasiasa, sio msomi, sio visionist, he is just an opportunistic political lightweight...
Huwa simshangai Makonda bali huwa nawashangaa wanao ona jamaa ni intelligent...
tatisho shuleHabari wanajamvi?
Nilikuwa naangalia katibu mwenezi Paul Makonda yupo anyara Leo na Leo analala anyara ili kesho aende kelele kusikiliza matatizo ya wananchi.
Ninaona kabisa zile itikadi za Magufuli anazo kwa asilimia zote. Na haya ma game Makonda anayaweza sana.
Kuna mama alikuwa anadai tangu 2014 hakulipwa, Makonda akamuita Mkurungezi akawa anajinga’ta akaja mkuu wa mkoa akasema mheshimiwa tunamlipa mama deni lake sababu ni la muda mrefu.
Hivi Makonda hafai kweli ili tupate kariba ya mtu kama Magufuli?