Makonda awaomba CHADEMA kusitisha shughuli zao za kisiasa, kuomboleza kifo cha Lowassa

Wewe kila kitu unakiangalia katika miwani ya uislamu.Kazi kwelikweli.Wewe ndo unasema una PhD wewe?Labda PhD ya uharo!
Abdullah bin Umar (r.a) anasimulia kuwa amemskikia Mtume (s.a.w) akisema �wakati mmoja wenu atakapokufa, msimcheleweshe, bali mzikeni haraka haraka.
KUWA NA PHD KUSIKUFANYE MTU UKAIDHARAU DINI YAKO.
 
ZIRO MINDED
 
Kabisa, ni vile tu wanasiasa huwa wanajitoa ufahamu. Labda kwakuwa alifaidika yeye binafsi na rushwa aliyopewa Ili ampe hicho kiti.
Siamini sana kua kulikua na rushwa kwasababu sina ushahidi ila najua jambo moja kua hawa jamaa huwa hawashauriki
 


“Kitaa nyuma ya Keyboard?
 
Kweli ni kipimo kikubwa kwao. Huwezi kuendelea na harakati za maandamano yasiyo na impact yanayoratibiwa na viongozi wa Kanda iitwayo Victoria lakini wao wakiwa wanakula Bata marekani huko ZMGOMBEA URAISI WAO AKIWA AMEFARIKI?
 
wanafunzi wa siasa wasiofundishika watafyumu sana 🐒
 
Unamuenzi aliyekukana?
Wakazike lakini sio kumuenzi...hakuna la kumuenzia
 
Kweli ni kipimo kikubwa kwao. Huwezi kuendelea na harakati za maandamano yasiyo na impact yanayoratibiwa na viongozi wa Kanda iitwayo Victoria lakini wao wakiwa wanakula Bata marekani huko ZMGOMBEA URAISI WAO AKIWA AMEFARIKI?

Anazikwa tarehe 17, maandamano ni tarehe 15, watu waache mambo ya kusaka mabadiliko wabaki wanaomboleza msiba wa mgombea urais aliyehama kwenye chama chao!
 
Maiti ikishafukiwa ndugu jamaa wanaenda shughulikini kwao. Akifa saa 12 asubuhi saa 4 asubuji kachelewa saa 7 mchana anaenda kuzikwa
Ndugu zako wote waliokufa mukiwazika kwa mfumo huo au unaongea kwa mujibu wa dini yenu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…