Makonda: Hakuna nilichojifunza, nitawanyoosha. Wasiopaka rangi nyumba zao katikati ya Mji TUTABOMOA

Daud Albert Bashite hawezi kujifunza chochote ni jinsi gani aongoze,bado anadhani ni ule utawala wa Jiwe uliokuwa unambeba licha ya kuwa na mapungufu mengi.
 
Nyote inaimba wimbo mmoja tu Makonda!
 
Makonda ni sawa na gunia la kinyesi kibichi, ukilibeba lazima yale maji maji yakuvujie, mama anabadili mbinu za kulibeba, lakini litendelea kumpa shida ya kulowana na harufu mbaya ya kinyesi
🤣🤣🤣
 
Hapo sawa kabisa Arusha kuna nyumba za zamani katikati ya mji hizi lazima ziboreshwe na ikiwekana akitika huko ahamishiwe Mbeya aje kusafisha jiji.
 
Hizo nyumba zipakwe rangi ya kufanana, si kila mtu ajiamulie rangi yake, tena ichaguliwe rangi ya kuvutia na kupendeza
 
Kwhyo Makonda ameshindikana si ndio!? Lkn nyie ndio mlimfata mkamrudisha kazin yeye alkuwa amekaa zake huko sjui Mwanza sjui Dar mkamfata mkampa uenezi bas acheni afanye kaz yke
 
Huyu ndiye anawaamsha watanzania kuiondoa CCM madarakani.
 
Nipe kifungu cha hiyo sheria nijisomee mkuu maana elimu haina mwisho.
 
Sisi wa kanda ya ziwa ndio tupo kimyaa, tumeridhika, wala hatuna kashfa mbaya dhidi ya serikali yetu. Hivi mnaonaje kaskazini mkatupilia mbali hivyo vyama miaka yote hakuna madiliko, maandamo si maandamano, mara udini mara ukabila, je! Tukiwapa nchi sisi wa kanda ya ziwa/dar na pwani kwa ujumla tutapona kweli!!

Najivunia sana ukanda wetu THE LAKE ZONE, Peace and love

Dar/Pwani/Lake zone/kanda ya kati na magharibi+Tanga💪🏽💪🏽❤❤✔✔✔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…