Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kujilisha upepo wako wewe .Huoni namna lema alivyoshikwa na maradhi ya akili na kuanza kutukana matusi kama mwendawazimu? Kwa sasa CHADEMA inakwenda kufutiliwa mbali kabisa kanda ya kaskazini.ngoja uone mwamba Makonda anavyokwenda kuipuliza CHADEMA.Sisi ndio tumesababisha kachinjiwa Baharini kwenye uenezi na huku tutahakikisha anang'olewa
Wewe mwaka huu ni lazima ufe kwa chuki zako binafsi .Utashindana lakini kamwe hutashinda na haumuwezi hata kidogo mwamba MakondaMakonda ni sawa na gunia la kinyesi kibichi, ukilibeba lazima yale maji maji yakuvujie, mama anabadili mbinu za kulibeba, lakini litendelea kumpa shida ya kulowana na harufu mbaya ya kinyesi
Huna pesa unajenga katikatika ya mji na unaliacha jengo kuwa pagala? Si uuze uhame ili mji upendeze?Avunje nyumba ya Mtu Kwa kutopakwa rangi? Huyu mpuuzi analelewa lakini asicheze na wanaojitambua.
Kama una jengo lako mjini na ni chafu chafu hakikisha una likarabati haraka sana tena sana maana Arusha ni jiji la kitalii na watalii hawawezi kuja eneo limejaa majengo machakavu na ya kizamani.Huyu jamaa ana siasa za sifa, na sio weledi
Umesema?Atafirwa mchana kweupe..
We huna hata cha kuandikwa, si ni bora hata MakondaMakonda ni sawa na gunia la kinyesi kibichi, ukilibeba lazima yale maji maji yakuvujie, mama anabadili mbinu za kulibeba, lakini litendelea kumpa shida ya kulowana na harufu mbaya ya kinyesi
sasa mbona alipigwa chini ?Mwamba Makonda ni Mkubwa Sana kuliko hata Tembo.
Wewe ndiye mjinga na mpumbavu .huwezi ukaacha uchafu mjini bila kuufanyia usafi na ukarabati .Arusha ni jiji la kitalii.kama huwezi kukarabati basi wewe uza ukakae na kuishi pembezoni mwa mji hukoMakonda ni mjinga au ni mpumbavu,,
Duuuh watalii hawajaja kutalii vyoo vya makuti shimo pipa la mafuta ya chemical?Kama una jengo lako mjini na ni chafu chafu hakikisha una likarabati haraka sana tena sana maana Arusha ni jiji la kitalii na watalii hawawezi kuja eneo limejaa majengo machakavu na ya kizamani.
Alipigwa chini wapi? Na hapo yupo wapi na kwa uteuzi wa nani? Unafahamu ni kwanini ameletwa hapo Mwamba Makonda?sasa mbona alipigwa chini ?
Anatamani sana kupata kadi ya CCM Erythrocyte.muda wote yupo Bize na habari za CCM.kwa sasa ameshasahau hata habari za uchaguzi wa Sacco's yao.Tunakushukuru mwanaCCM mwenzetu Erythrocyte uliyepo CHADEMA kwa kazi maalum kwa kutuletea habari hii muhimu. Piga kazi komredi.
Umeishiwa kibwege sana !Tunakushukuru mwanaCCM mwenzetu Erythrocyte uliyepo CHADEMA kwa kazi maalum kwa kutuletea habari hii muhimu. Piga kazi komredi.
Wewe ni mwanaCCM kwa sababu kila habari ya CCM unafuatilia na kupost. Unakitangaza Chama Cha Mapunduzi kuliko CHADEMAUmeishiwa kibwege sana !