Makonda: Hakuna nilichojifunza, nitawanyoosha. Wasiopaka rangi nyumba zao katikati ya Mji TUTABOMOA

Makonda: Hakuna nilichojifunza, nitawanyoosha. Wasiopaka rangi nyumba zao katikati ya Mji TUTABOMOA

Sisi ndio tumesababisha kachinjiwa Baharini kwenye uenezi na huku tutahakikisha anang'olewa
Acha kujilisha upepo wako wewe .Huoni namna lema alivyoshikwa na maradhi ya akili na kuanza kutukana matusi kama mwendawazimu? Kwa sasa CHADEMA inakwenda kufutiliwa mbali kabisa kanda ya kaskazini.ngoja uone mwamba Makonda anavyokwenda kuipuliza CHADEMA.
 
Makonda ni sawa na gunia la kinyesi kibichi, ukilibeba lazima yale maji maji yakuvujie, mama anabadili mbinu za kulibeba, lakini litendelea kumpa shida ya kulowana na harufu mbaya ya kinyesi
Wewe mwaka huu ni lazima ufe kwa chuki zako binafsi .Utashindana lakini kamwe hutashinda na haumuwezi hata kidogo mwamba Makonda
 
Makonda ni sawa na gunia la kinyesi kibichi, ukilibeba lazima yale maji maji yakuvujie, mama anabadili mbinu za kulibeba, lakini litendelea kumpa shida ya kulowana na harufu mbaya ya kinyesi
We huna hata cha kuandikwa, si ni bora hata Makonda
 
Kama una jengo lako mjini na ni chafu chafu hakikisha una likarabati haraka sana tena sana maana Arusha ni jiji la kitalii na watalii hawawezi kuja eneo limejaa majengo machakavu na ya kizamani.
Duuuh watalii hawajaja kutalii vyoo vya makuti shimo pipa la mafuta ya chemical?
 
sasa mbona alipigwa chini ?
Alipigwa chini wapi? Na hapo yupo wapi na kwa uteuzi wa nani? Unafahamu ni kwanini ameletwa hapo Mwamba Makonda?

Ninyi endeleeni kucheza mziki na ngoma ya CCM.mpo bize kufuatilia habari za CCM kuliko hata uchaguzi wa Sacco's yenu. CCM na Makonda ni Mwamba kwelikweli na ndio maana mpo Bize sana kufuatilia habari zake
 
Mmekuwa watu wakumtengenezea content mitandaoni mna mpa mileage kubwa Sana kisiasa.
Kila ataanza kumfuatilia na kutamani apate nafasi kubwa zaidi ya uongozi.
Tumieni akili achaneni na siasa za matukio madogo ya muda mfupi.
 
Nilishauri hapa Huyu jamaa Mama ampeleke mayukreini huko akawe balozi.. hamkunisikia.

Sasa komeni...
Tizama anvyo 'Brag'...
Tizama anavyonyanyua mabega...

Mama hawezi fanya kazi na type hii nawaambia....
 
download.jpeg
 
Kwenye daladala namuunga mkono!


Mji ni wa kitalii ila daladala ni uchafu
 
Back
Top Bottom