Pre GE2025 Makonda: Harusi yoyote itakayofungiwa Arusha Serikali ya mkoa italipia ukumbi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kodi zetu sasa kulipia harusi! Ngoja niendelee kuvuta shuka labda GenZ wakisikia watanionea huruma.
 
Wakushi wa Mtwara wanakuja kufungia ndoa Arusha
 
Sikiliza hiyo video mpaka mwisho sio unasoma tu kichwa cha habari unaanza kupinga. Punguza akili mbovu hasi zenye kupinga hata kile usichokifahamu kwa kina.
 
Hii ndio shida ya nchi kuongozwa na Darasa la Saba, Jiji la Arusha shule za hapo tu kati kati ya jiji zimechoka mbaya ila mjinga anakuja na mawazo ya kijinga jinga.
 
Ameshaandaa michongo ya kulipia mabest wake kwa fedha za Serikali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…