kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Kila kiongozi na ubunifu wake, big up Makonda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaona ndoatakayowashika nayo watu wa atownHii ndio shida ya nchi kuongozwa na Darasa la Saba, Jiji la Arusha shule za hapo tu kati kati ya jiji zimechoka mbaya ila mjinga anakuja na mawazo ya kijinga jinga.
kwanza, ukumbi utakuwa Mbande Kiponza kwa kina Poor Brainachana na babycare tafuta hata lishangazi ukumbi ni bure mimi naahidi chakula
Mbona nilikua hapo mbande (mbagala) charambe juzi tu, nilisahau kukucheki maana nilikua mbagala kwa mpalange Poor Brainkwanza, ukumbi utakuwa Mbande Kiponza kwa kina Poor Brain
Pili, simuachi babycare ng'o
Hiyo pesa akasaidie watoto yatima wapo wengi waliokwama kuendelea na masomo kwa kukosa adaMkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda amesema sherehe ya harusi yoyote itakayokuwa inafanyika Mkoani Arusha na kuhusisha wasiokuwa Wakazi wa Mkoa wa Arusha, Serikali ya Mkoa chini yake itagharamia ukumbi popote ndani ya Mkoa huo ili kufanikisha harusi hiyo.
Makonda amesema hayo wakati akiongea na Wadau mbalimbali wa maendeleo Mkoani Arusha leo July 08,2024 ambapo amesema lengo ni kuvutia zaidi Wageni na Watalii kufika Mkoani Arusha ili kuwa chachu ya kukuza uchumi wa Mkoa huo.
“Lengo letu sisi ni hatutaki kuwa na high season au low season, tunataka kutengeneza shughuli na matukio mbalimbali kuhakikisha kuwa muda wote uchumi unakuwa na kuendelea ili Mama wa mboga, bodaboda na kila Mtu anufaike na ugeni unaofika hapa Arusha”
====
Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Mm ntakuwa upande wa vyakula 😎dronedrake please achana na babycare tafuta hata lishangazi ukumbi ni bure mimi naahidi chakula, vinywaji, na usafiri,
mpiga tarumbeta Poor Brain @msherheshaji To yeye
role model@evelyn salt na Mbaga Jr
atakayekuja kusikiza kusikilizia wakati wa honey moon ni.......naogopa kumtaja
,😁😁Ni jambo jema 😄
Lucas and Ephen Ndoa Arusha 😂🔥
Mkafunge ndoa nanyi huko....
Nitakuwa matron.....