Pre GE2025 Makonda: Harusi yoyote itakayofungiwa Arusha Serikali ya mkoa italipia ukumbi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Usitupangie na feza zetu bhn we hutak wananchi nao wale hela za serikali walau kidogo
Hakuna fedha zetu! Hizi ni kodi za wananchi wa nchi hii wote!

Basi kama vipi kodi zote mnazolipa wapewe viongozi na watoto wao kama ni sawa tu kula hela
 
ivi hizi pesa zinakuwaga wamezitoa wapi? kwenye hizi hizi bajeti zinapitishwa bungeni au ni kwenye kitu gani hadi mtu anakuwa na mamlaka na pesa ya umma utafikiri ana run kampuni yake binafsi.
 
Kumbe shekhe unachepukaga🥸
Mke ulimpata kwa shida halafu unamletea drama! Unazingua
Hujaelewa, sijasema nachepuka nimetolea mfano..

Kwanza kuchepuka naanzia mguu gani? 🤣😂
 
ivi hizi pesa zinakuwaga wamezitoa wapi? kwenye hizi hizi bajeti zinapitishwa bungeni au ni kwenye kitu gani hadi mtu anakuwa na mamlaka na pesa ya umma utafikiri ana run kampuni yake binafsi.
Pesa zote za kuendesha Serikali Kuu na Serikali za Mitaa zinatoka Mfuko Mkuu wa Hazina ambapo humo ndo zinawekwa Kodi za Wananchi

Hela zote tunazolipa kodi zinaenda mfuko wa Hazina, then zinasambazwa kwenye Ofisi na Taasisi za Serikali kwa matumizi yao kwa mujibu wa bajeti zao zilizoidhinishwa na bunge
 
Uongo huo. Mbona clip haichezi?
 
Tumeshaanza mfumo wa serikali za majimbo?
 
Huku mtaani kwetu bado tumelala hizo kodi ni za mama sisi hazituhusu.
 
Huku mtaani kwetu bado tumelala hizo kodi ni za mama sisi hazituhusu.
Nani kakwambia?

Kwani hununui umeme? Hulipi maji? Hununui bidhaa dukani? Hujui zina VAT?

Endeleeni tu na ujinga wenu wa kutokuwa serious kufuatilia matumizi sahihi za kodi zenu.
 
Zerobrain Bashite hajawahi kufanikisha kitu. Ni mtu wa kutafuta kiki tu. Anajifanya creative ni wajinga wanamfuata.

Alikuja Arusha na issue ya sarakasi za WADUDU, je zimeishia wapi?
 
Video mbona haiplay, nataka nimsikie RC,
 
@mods naomba rekebisheni hiyo clip haiplay vizuri!
 
ndio mtu alipie ukumbi watu wanaoowana,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…