Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aise madaraka yanaleta uadui sana huyu kwa maneno haya inaonyesha ana bifu sana na bwana yuleKatibu wa Itikadi na Uenezi na Mafunzo Makonda amefika msibani kwa Waziri Mkuu Mstaafu Lowassa ambapo amedai kuna watu anawajua hawakwenda kumjulia hali wakati anaumwa, walijikausha hivyo waendelee kukaa hivyo hivyo kimya.
Amedai mtu mwema ni yule ambaye mwanzako akipata matatizo utamjulia hali, hata ikitokea bahati mbaya akafariki basi unachakuzumngumza.
View attachment 2901905
Anawatupia madongo watu wa kutoka Chamani sio wa kutoka upinzani !!Mwenezi wa CCM mh Makonda amesema Watanzania waache Unafiki kwa kufanya marafiki wa Lowasa sasa ilhali wakati anaumwa hawakwenda kumuona
Tuache tabia ya kumsemea mtu mazuri baada ya kufa
Source: EATV
Naungana naye kwenye hilo la kumsemea mazuri mtu baada ya kufa.Mwenezi wa CCM mh Makonda amesema Watanzania waache Unafiki kwa kufanya marafiki wa Lowasa sasa ilhali wakati anaumwa hawakwenda kumuona
Tuache tabia ya kumsemea mtu mazuri baada ya kufa
Source: EATV
Kafa mtu wa CCM ila mnahangaika na CHADEMA.chadema hawapendi ukweli wallah
Niliyoandika ni uongo?Unaandika insha nzima ili iweje?
Siyo mnafiki kivipi wakati alimtukana wakati wa bunge la katibaKasema ukwel yeye siyo mnafiki