Makonda kupata teuzi wakati wowote kutoka sasa

Hata hapa hamna loloye uliloandika zaidi ya porojo tu ,yoyote atakayesoma ataona tu unaropokoa kwa chuki binafsi kwa mtu, maana hujaeleza lolote zaidi ya malalamiko
 
Hata hapa hamna loloye uliloandika zaidi ya porojo tu ,yoyote atakayesoma ataona tu unaropokoa kwa chuki binafsi kwa mtu, maana hujaeleza lolote zaidi ya malalamiko
Haya ngoja nikupe nafasi.
Wewe unayetetea umeeleza nini?
 
Hasira za mamaa kuwakomoa aakinaa Mbowe..
Mwenye picha ya bashite na mama aitupie
 
Ila kwa suala la Mnyeti Mama Abdul kazingua sana
 
Kama nchi, tumefikia hatua mbaya sana iwapo hata watu wa aina ya huyu Bashite na wao wanaonekana kuwa ni viongozi wa kuwatumikia wananchi kwa ufanisi.

Nchi imeshuka viwango kwelikweli.
Bashite hawezi kurudishwa labda Kinana,Nape na Makamba waondoke
 
Kwani huyo makonda ni nani?
 
Makonda Unahangaika sana kwani usitafte kazi ufanye?? Umeumiza sana watu sasa unahaha uteuliwe ili iweje???
 
Makonda Bado anatufaa sana kama Watz tumpe nafasi nyingine hakuna mkamilifu duniani
 
Nani alikuambia magufuri anaungwa mkono kanda ya ziwa.Magufuri haungwi mkono na yeyote kanda ya ziwa..Owte huku walikuwa wanamnanga Kwa ukorofi
 
Hata Sabaya Ole Lengai ateuliwe tu
 
Biteko ....ana kazi sana dodoki kuwasafisha mioyo wasukuma woote kanda ziwa....wamkubali mama.....ilirakiwa apewe kalemani lakini Dotto ndio wa kumvusha mama kanda ziwa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…