Terrible Teens
Member
- May 6, 2017
- 47
- 62
Watumishi wa umma wamekwishaBila kupepesa Macho wala kutikisa Masikio, Watumishi mjiandae kupigwa deshi kwa mara nyingine katika mwaka mpya wa fedha.
Hapo ametumwa afikishe ujumbe.
Bora awaambie ukweli, wanadai mishahara huku kazi hawafanyi.
Ni mwendo wa hapa kazi tu, kuna lipi la kushangaza kwa alichoongea!?
Na akitoa mfano, nyie lazima muukuze.
Mtajiju na muache kulalamika juu ya kuzungushwa kwenye ofisi za mji huo, huku akifata njia kuwanyoosha mnamsema.
Makonda oyeeeeeeeeeee
Mdharau tu anafanya makusudi ili ainuliwe kutoka shimoniAkiongea upupu lazima apigwe mawe tu
Hasira za kutokualikwa mei mosi....Yeye haoni shida kwa sababu anajazilizia na rambi rambi na utapeli wa mali za watu aliowataja kwenye uuzaji wa madawa ya kulevya.
Na kwanini wewe kila Bashite akitoa mfano unaufanya "mdogo"?Bora awaambie ukweli, wanadai mishahara huku kazi hawafanyi.
Ni mwendo wa hapa kazi tu, kuna lipi la kushangaza kwa alichoongea!?
Na akitoa mfano, nyie lazima muukuze.
Mtajiju na muache kulalamika juu ya kuzungushwa kwenye ofisi za mji huo, huku akifata njia kuwanyoosha mnamsema.
Makonda oyeeeeeeeeeee
Bora awaambie ukweli, wanadai mishahara huku kazi hawafanyi.
Ni mwendo wa hapa kazi tu, kuna lipi la kushangaza kwa alichoongea!?
Na akitoa mfano, nyie lazima muukuze.
Mtajiju na muache kulalamika juu ya kuzungushwa kwenye ofisi za mji huo, huku akifata njia kuwanyoosha mnamsema.
Makonda oyeeeeeeeeeee
πππ Kazi ipo hii miaka kumi ya ajabu!!anaongelea meimos wakati alikimbia! hahahahahahaha mbavu zangu mie
πππNa kwanini wewe kila Bashite akitoa mfano unaufanya "mdogo"?
Hivi sheria za Tanzania zinaruhusu Kiongozi kumchapa viboko mtumishi wa umma eeeeh?
Endelea kupotoka ivo ivoHasira za kutokualikwa mei mosi....