Makonda: Marufuku kudai nyongeza ya mshahara! Nashangaa watu wanapita na mabango, mie ningewachapa

Acha ku_generalize wafanyakazi sio wafanyakazi wote wenyewe tabia hizo unazodai. HAKUNA WA KUMZUIA MFANYAKAZI ASIDAI MASLAHI YAKE SIO WEWE AU MWINGINE YEYOTE.
SOLIDARITY......FOREVER!!!!!!!!!!
 
only 10% ya wafanyakazi wa serikalini ni creativer, hardworker, commited na wanajali, wengi wahuni , wavivu na zero kabisa
 

Critical Thinkers ndo wako hivi siku hizi.
 
Ahahahaaaaaa Mtumishi = Mtumwa ................. mwendo mdundo wanaostahili kula vinono ni wao tu kwa sababu ndio wanafanya kazi
 
Na kwanini wewe kila Bashite akitoa mfano unaufanya "mdogo"?
 
Hivi sheria za Tanzania zinaruhusu Kiongozi kumchapa viboko mtumishi wa umma eeeeh?




 
ajaribu kupiga hivyo viboko aone ,hii ni ishara ya kuchanganyikiwa
 
Reactions: Mj1
Hivi yule mwanahabari wa Tabora takukuru wameshampata!?
 
Huyu angekuwa na digiriii originoo Dar pasingekalika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…