Makonda Paul - 2030 tunapenda uwe Rais. Kubali sisi tunakuombea na kukupa sapoti

Makonda Paul - 2030 tunapenda uwe Rais. Kubali sisi tunakuombea na kukupa sapoti

Huenda hii siyo ndoto yako lkn naleta kwako mawazo YANGU.
  • Kila unaposimama unaonekana
  • Kila unalofanya linaonekana
  • Kila kijiwe na senta jina lako limekaa kwa vichwani mwa watu

Amini, watakalo watu ni Sheria
asipochukua form 2030 atanikwaza.Japo mkataba MWITONGO unaweza kuwa kikwazo kwake na kwa mzalendo yeyote wa nchi hii
 
Huenda hii siyo ndoto yako lkn naleta kwako mawazo YANGU.
  • Kila unaposimama unaonekana
  • Kila unalofanya linaonekana
  • Kila kijiwe na senta jina lako limekaa kwa vichwani mwa watu

Amini, watakalo watu ni Sheria
Makonda mwenyewe kaua akina Ben Saanane, Azory Gwanda na aliongoza kikundi cha WASIOJULIKANA kwenda kumshambulia Tundu Lissu akiwa mkutanoni Dodoma. Hukumu ya Makonda ipo tu, siku yeyeote au Mahakamani au mtaani, ila hawezi kuepuka. Lazima kikombe akinywe tu
 
1721131638835.png
 
Huenda hii siyo ndoto yako lkn naleta kwako mawazo YANGU.
  • Kila unaposimama unaonekana
  • Kila unalofanya linaonekana
  • Kila kijiwe na senta jina lako limekaa kwa vichwani mwa watu

Amini, watakalo watu ni Sheria
2030 ni mbali Sana, awe Rais 2025
 
Hii nchi yetu inatia aibu kwa kiwango cha akili cha watu wake.

Kuna tofauti kubwa kati ya administration na leadership.
Kuna watu ni best administrators na kuna watu ni best leaders. Urais wa nchi is both, kitu ambacho wengi hatuna.

Rais inapendeza akiwa na PhD au angalau masters coz kuna mambo yanahitaji kuwa na technical knowledge, hekima, patience and high reasoning capacity, sio kila kitu ni siasa na ubabe wa kishamba.
 
Huenda hii siyo ndoto yako lkn naleta kwako mawazo YANGU.
  • Kila unaposimama unaonekana
  • Kila unalofanya linaonekana
  • Kila kijiwe na senta jina lako limekaa kwa vichwani mwa watu

Amini, watakalo watu ni Sheria
Labda rais wa familia yako
Mpuuz wewe
 
Back
Top Bottom