Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NI KWELI MACHOKO WANAZID KUWA WENGI SANA NOWDAYS.,MBAYA ZAIDI NACHUKIA KUONA WENGINE NAO WANA MAJINA KAMA YA KINA SISI BASI TAABU JUU YA TABU,MUNGU TUEPUSHE NA SODOMA NA GOMORAHKuna mtu ameleta uzi akilalamika kwamba Mashoga wanaongezeka kwa wingi Tanzania.
WE MWENYEWE HUOGOPI??RAIS GANI KAMA BASHITE NA MATAKO MAKUBWA KAMA YALE??Kwanini isiwe kuanzia 2025?
2030 ni mbali sana.
Halafu Nchimbi unamuweka wapi mwaka huo? Soma alama mzee.
mapumziko na likizo fupi ya kikazi alochukua Paul Christian Makonda, imedhihirisha kupendwa sana na kuhitajika kwake miongoni mwa waTanzania.
kumbe umuhimu wake wa kipekee ni mkubwa mkubwa sana katika jamii, na mipango mikakati na jitihada zake kwenye kushughulika kero za wanainchi zinahitajika pakubwa sana nchini...
na hii inaashiria upo uzalendo, heshima, umoja na mapenzi ya dhati makubwa sana ya waTanzania kwa viongozi wao waandamizi wa kitaifa..
ni rai yangu kwa waTanzania wote kuendelea kushikamana na kuandamana katika sala na maombi kwa Mungu, ili viongozi wetu hawa, daima wawe na afya njema na maisha marefu, ili kusudi kwa kutumia maarifa, weledi na ubunifu wa mipango yao waendelee kuwatumikia wanainchi wa Tanzania bila kuchoka wala kukata tamaa licha ya changamoto mbalimbali za kibinadamu zilizopo 🐒
Neema na Baraka za Mungu ziambatane na kuandamana na viongozi wote wenye nafasi na dhamana ya kuwatumikia wanainchi popote nchini..
Mungu Ibariki Tanzania..
Ukipenzi huo unatokana na Nini? Kipi Cha maana ametufanyia nje ya Kodi zetu tunazokamuliwaHuenda hii siyo ndoto yako lkn naleta kwako mawazo YANGU.
- Kila unaposimama unaonekana
- Kila unalofanya linaonekana
- Kila kijiwe na senta jina lako limekaa kwa vichwani mwa watu
Amini, watakalo watu ni Sheria