Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Jinga kabisa mleta mada. Mchukue awe rais wa familia yako na mkeo hapo kwako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi hii Urais unachukuliwa poa sana ,kwamba kila mmoja anaweza kua rais, ujinga huuHuenda hii siyo ndoto yako lkn naleta kwako mawazo YANGU.
- Kila unaposimama unaonekana
- Kila unalofanya linaonekana
- Kila kijiwe na senta jina lako limekaa kwa vichwani mwa watu
Amini, watakalo watu ni Sheria
Acha ujingaHuenda hii siyo ndoto yako lkn naleta kwako mawazo YANGU.
- Kila unaposimama unaonekana
- Kila unalofanya linaonekana
- Kila kijiwe na senta jina lako limekaa kwa vichwani mwa watu
Amini, watakalo watu ni Sheria
Daaah kuongoza watu wajinga ni kazi rahisi sana.Huenda hii siyo ndoto yako lkn naleta kwako mawazo YANGU.
- Kila unaposimama unaonekana
- Kila unalofanya linaonekana
- Kila kijiwe na senta jina lako limekaa kwa vichwani mwa watu
Amini, watakalo watu ni Sheria
Kwanini isiwe kuanzia 2025?Huenda hii siyo ndoto yako lkn naleta kwako mawazo YANGU.
- Kila unaposimama unaonekana
- Kila unalofanya linaonekana
- Kila kijiwe na senta jina lako limekaa kwa vichwani mwa watu
Amini, watakalo watu ni Sheria
Kwa hao akina Kikwete, Magufuli au Samia wana akili sana kuliko Makonda? Makonda anafaa sana kuliko hata Samia! Mengine kufarijiana tu!Akili ndogo buana...
Yanga ni imara snAu yanga maana engineer ameambiwa aachie ngazi
SureDaaah kuongoza watu wajinga ni kazi rahisi sana.
Makonda ni populist. Mengi anayosema na kutenda hayana consistence.
Mfano ipo ya kutosha!
Huenda hii siyo ndoto yako lkn naleta kwako mawazo YANGU.
- Kila unaposimama unaonekana
- Kila unalofanya linaonekana
- Kila kijiwe na senta jina lako limekaa kwa vichwani mwa watu
Amini, watakalo watu ni Sheria
Kwa hao akina Kikwete, Magufuli au Samia wana akili sana kuliko Makonda? Makonda anafaa sana kuliko hata Samia! Mengine kufarijiana tu!
Nafasi ya urais imekuwa rahisi sanaKwanini isiwe kuanzia 2025?
2030 ni mbali sana.
Umenisikitisha sanaa.Kiwango cha Makonda kinafaa kuongoza hata Marekani!![]()
Halafu Nchimbi unamuweka wapi mwaka huo? Soma alama mzee.Huenda hii siyo ndoto yako lkn naleta kwako mawazo YANGU.
- Kila unaposimama unaonekana
- Kila unalofanya linaonekana
- Kila kijiwe na senta jina lako limekaa kwa vichwani mwa watu
Amini, watakalo watu ni Sheria
Nchimbi awe Rais? Unaumwa saizi hunataka vijana huyo Nchimbi ni fisadi na mwendelezo wa ufisadi!Halafu Nchimbi unamuweka wapi mwaka huo? Soma alama mzee.
Makonda angekuwa nchi zenye akili angefika mbali sana!Umenisikitisha sanaa.
Jitahidi kuanalyse siasa ya CCM. I am not a CCM member or a fan and am not even liking/looking forward ashinde huyu bwana lakini duru zipo hivyo ndio maana unaona amekuwa anahakikisha mkuu wa TISS anakaa pale jamaa yake aliyekuwa Aide wake kule Brazil akiwa balozi.Nchimbi awe Rais? Unaumwa saizi hunataka vijana huyo Nchimbi ni fisadi na mwendelezo wa ufisadi!
Ngoja tuone itakuwaje! Ila 2030 kazi ipo! Kama ni hivo basi Nchimbi inabidi asked team yake saizi mapema kwa maana team ya Magufuli japo haina muda mrefu ila ina washabiki wa kutosha ndani na nje ya chama!Jitahidi kuanalyse siasa ya CCM. I am not a CCM member or a fan and am not even liking/looking forward ashinde huyu bwana lakini duru zipo hivyo ndio maana unaona amekuwa anahakikisha mkuu wa TISS anakaa pale jamaa yake aliyekuwa Aide wake kule Brazil akiwa balozi.
Watu kama Bashe na vijana wote wa kundi la Hayati ENL wanaamini inayokuja ni ya kwao save for kundi la hayati Magu ambao wengi ni wageni kwenye chama na serikali kushinda wa ENL ambao hata mzee JK kwa sababu alishindwa kuandaa succession planning ikafeli kwa Membe analazimika kuside na group la ENL ambalo ndio linambeba hata huyu mama kwa sasa hivyo nae anajikuta hana namna lazima awakubali ili akiondoka awe salama.
So mark my words brother.