asipochukua form 2030 atanikwaza.Japo mkataba MWITONGO unaweza kuwa kikwazo kwake na kwa mzalendo yeyote wa nchi hiiHuenda hii siyo ndoto yako lkn naleta kwako mawazo YANGU.
- Kila unaposimama unaonekana
- Kila unalofanya linaonekana
- Kila kijiwe na senta jina lako limekaa kwa vichwani mwa watu
Amini, watakalo watu ni Sheria
hawakuwa CCMIngekuwa rahisi hivyo hata lyatonga hata Zitto wangeshakuwa Rais.
Anaweza kuwa Rais wa TFFIngekuwa rahisi hivyo hata lyatonga hata Zitto wangeshakuwa Rais.
Makonda mwenyewe kaua akina Ben Saanane, Azory Gwanda na aliongoza kikundi cha WASIOJULIKANA kwenda kumshambulia Tundu Lissu akiwa mkutanoni Dodoma. Hukumu ya Makonda ipo tu, siku yeyeote au Mahakamani au mtaani, ila hawezi kuepuka. Lazima kikombe akinywe tuHuenda hii siyo ndoto yako lkn naleta kwako mawazo YANGU.
- Kila unaposimama unaonekana
- Kila unalofanya linaonekana
- Kila kijiwe na senta jina lako limekaa kwa vichwani mwa watu
Amini, watakalo watu ni Sheria
Akiwa? Umewezaji kuunganisha herufi na maneno hadi ukapata hiyo sentensi? Maana haiji kabisaTatizo lake mtu wa visasi sana.
Akiwa rais tegemea anguko la gsm and silent ocean kupotea kabisa nchini.
Ukiona mtu anatajwa na kunenewa sana urais, ujue huko kunenewa ndiyo urais wake na ndiyo ameshaupata anasubiri kustaafu tuIngekuwa rahisi hivyo hata lyatonga hata Zitto wangeshakuwa Rais.
Huyo ajiandae kwenda kuongoza manyapara jela maana atafungwa kifungo cha muda mrefu sanaKiwango cha Makonda kinafaa kuongoza hata Marekani!
Anakubalika na anaweza
2030 ni mbali Sana, awe Rais 2025Huenda hii siyo ndoto yako lkn naleta kwako mawazo YANGU.
- Kila unaposimama unaonekana
- Kila unalofanya linaonekana
- Kila kijiwe na senta jina lako limekaa kwa vichwani mwa watu
Amini, watakalo watu ni Sheria
Lowasa aliupata urais ee ?Ukiona mtu anatajwa na kunenewa sana urais, ujue huko kunenewa ndiyo urais wake na ndiyo ameshaupata anasubiri kustaafu tu
Kule kutajwatajwa na kunenewa ndiyo ulikua urais wake, urais wa midomoniLowasa aliupata urais ee ?
Makonda ni kiazi mbatata! Ana ban ya CIA, shwaini!Kapigwa marufuku kukanyaga US hawezi kuongoza hata Toilet Marekani.
Inamaana kichwa chake kimekaa kama mkate wa kikinga au unamaanisha mkate wa bofloBro hiyo kichwa hapo kwa profile ni yako?
Labda rais wa familia yakoHuenda hii siyo ndoto yako lkn naleta kwako mawazo YANGU.
- Kila unaposimama unaonekana
- Kila unalofanya linaonekana
- Kila kijiwe na senta jina lako limekaa kwa vichwani mwa watu
Amini, watakalo watu ni Sheria
Au yanga maana engineer ameambiwa aachie ngaziAnaweza kuwa Rais wa TFF