Makonda usikubali kuachia hilo ghorofa na imani kubwa kuna nguvu kubwa inakulinda

Makonda usikubali kuachia hilo ghorofa na imani kubwa kuna nguvu kubwa inakulinda

Kwa ufupi ni kwamba ukisalimu amri ukakabidhi hilo ghorofa kwa GSM jua daraja la umasikini linakunyemelea.

Kwa ninavyowafahamu Wasukuma si rahisi kukata tamaa pambana hadi tone lako la damu la mwisho.

Kuna wakubwa wanafuatilia huu mtanange kwa ukaribu zaidi.

Kila la kheri
Crap…
 
Kosa la makonda ni kutokufanya transfer kwa wakati.

Jamaa wametumia hiyo loophole kumtingisha.

Ila kama signature za GSM ni authentic na alisaini bila kushurtishwa.

Basi Makonda ana haki.
Kumbuka walisaini kwa ushahidi wa wakili ambaye kimsingi Mahakama inamwamini
 
Kwa ufupi ni kwamba ukisalimu amri ukakabidhi hilo ghorofa kwa GSM jua daraja la umasikini linakunyemelea.

Kwa ninavyowafahamu Wasukuma si rahisi kukata tamaa pambana hadi tone lako la damu la mwisho.

Kuna wakubwa wanafuatilia huu mtanange kwa ukaribu zaidi.

Kila la kheri
Nguvu iliyokuwa inamlinda ilishaondoka hapa duniani tangu 17 March 2021
 
Kosa la makonda ni kutokufanya transfer kwa wakati.

Jamaa wametumia hiyo loophole kumtingisha.

Ila kama signature za GSM ni authentic na alisaini bila kushurtishwa.

Basi Makonda ana haki.
Hiyo transfer angeifanya bila document? Uenda alikwama kufanya kwa wakati sababu hana attachments
 
Msoga inatakiwa kuvamiwa na nzige ama kulipuliwa na Moscow
 
Ndio yuko kushughurikia kufoji document. Na hayo yanatokea kwa nchi zetu tu. Ulaya ilikuwa ni kesi umepata ukiwa kiongozi
 
Ili ukiwa zwazwa basi hata ufanye nini uzwazwa haukuachii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tangu lini muhuri ukawa stamped chini ya picha badala ya kua juu yake??
Hapo umenifumbua macho mkuu. Itakuwa huyu kachukua hizo documentary za wengine,kafoji foji mapicha picha
 
Mimi Sina Cha kuongeza ila nataka makonda amshinde huyo gsm
 
kinachotia shaka katika hizi nyaraka, ni mihuri inatangulia kwanza halafu picha zinawekwa juu yake.
Picha hua zina materials ya kuteleza, hivyo mhuri haukukolea vizuri ukafutika
 
Bashite aliturusha roho sana tusio na kazi mpaka mjini, sijui alijiamini vipi kusema atatufukuza turudi kijijini [emoji3]
 
Wanadai mchongo ulikuwa 2013,GSMu walimuuzia Bashite kiwanja maeneo nyeti hapo Daslam kwa 120M.Wao watoto wa mjini walikinunua 500M 2006.

Wanadai pia 2019 aliwaambia ni maelekezo kutoka kwa Mzee wa Chattle,
Kwamba mzee anataka GSMu wambarikie hekalu.

Wanadai tena GSMu wakashtukia mchongo Mkoromije alitaka kuwapiga tu, ajimilikishe Hekalu,Kwanza Mzee wa Chattle alisha RIP.

Sasa watoto wa mjini wamechukua chao na wana nyaraka zote,Mkoromije amebaki analialia na nyaraka zinasambaa zina picha juu ya muhuri.

Wadau pia wanahoji 2013 mbona Bashite alikuwa bado yupo koromije ata kama alikuja Daslam,alikuwa na uwezo gani wakupiga dili na Gisemu,
Maana hata hapo alikuwa bado hajamfunga kamba viatu Rizimoko mtoto wa msoga ili aingizwe kwenye sisitimu ya wakubwa.
Wadau tena wanahoji hata kama alinunua aliwa RC wa Daslam,bado mshahara hautoshi kupiga dili la 1B+ alizitoa wapi!?

Sa hivi wengi wanadai apelekwe kwa Pilato asurubiwe .
Dah kiongozi hapa ndio umenivuruga kabisa..

Yani 2006 walinunua Kwa million 500, wakaja kuuza Kwa million 120 mwaka 2013? Hesabu ya ardhi huwa haikai hivyo bhana..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom