Makonda: Waziri akayekaa Robo Mwaka bila ripoti ya kazi atachukuliwa hatua

Makonda: Waziri akayekaa Robo Mwaka bila ripoti ya kazi atachukuliwa hatua

Hivi zile bato au oparesheni za Makonda mwenye kumbukumbu anipe mrejesho wa mafanikio au nimbwembwe kama hili tamko?
1. Oparesheni Madawa ya kulevya
2.Oparesheni usafi wajiji LA Dar
3.Oparesheni Mashoga
4.Oparesheni usije Dar kutoka mikoani kama huna shughuli mjini
5.Oparesheni kuwinda baba walitelekeza watoto
6.Oparesheni kukamata wanaume nakupima tenzi dume kwa nguvu.
 
View attachment 2800177
Akizungumza katika hafla ya kukaribishwa jijini Dodoma, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda amesema kutokana na Serikali kutenga Bajeti kwaajili ya miradi ya Maendeleo kwaajili ya Wananchi, Chama kinawataka Mawaziri kuwasilisha Ripoti ya kazi zao katika Sekretarieti yake .

Ameongeza kuwa Waziri yeyote atakayekaa zaidi ya Robo Mwaka (Miezi Minne) bila kufanya kazi, bila kuwa na Ripoti ya utekelezaji wa kazi za Wizara na Ilani ya chama hicho atachukuliwa hatua kwasababu sasa ni wakati wa kuwatumikia Wananchi.
Huyu ULIMI WAKE MKUBWA KUPITA MDOMO
 
Ila naona kama haya maneno angetamka katibu Mkuu Chongolo, Makonda ni mzuri kwenye kuvuka mipaka kimajukumu, kwa maana utawala ule alikuwa kama makamu wa rais na sio mkuu wa mkoa.
Kwa hapa sasa hata mwenyekiti SSH atakuws hana cha kuongea, show zote zitamalizwa na Makonda.
Makonda atakuwa msaada sana kwa mama.

Ingawa yule mama simpendiiii....
 
View attachment 2800177
Akizungumza katika hafla ya kukaribishwa jijini Dodoma, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda amesema kutokana na Serikali kutenga Bajeti kwaajili ya miradi ya Maendeleo kwaajili ya Wananchi, Chama kinawataka Mawaziri kuwasilisha Ripoti ya kazi zao katika Sekretarieti yake .

Ameongeza kuwa Waziri yeyote atakayekaa zaidi ya Robo Mwaka (Miezi Minne) bila kufanya kazi, bila kuwa na Ripoti ya utekelezaji wa kazi za Wizara na Ilani ya chama hicho atachukuliwa hatua kwasababu sasa ni wakati wa kuwatumikia Wananchi.
"Changamoto kubwa iliyopo katika ulimwengu wa sasa ni kwamba watu wenye akili nzuri hawataki kujihusisha na siasa hivyo kuwapa mamlaka watu wasiokuwa na akili kuwatawala watu wenye akili na watu wasiokuwa na akili."
Donald Trump, aliyekuwa Rais wa 45 wa Marekani.
 
mi

nishasema hapa duniani hakuna binadamu mwenye akili ndogo km huyu bwana. Hajui hata majukumu yake, ni km comedian flani. Atamharibia mama, ameshampa waziri mkuu miezi 6 migogoro ya ardhi iwe imekwisha. Migogoro ya ardhi inaibuka kila siku itaishaje ndani ya miezi 6. Akaulize mabaraza ya ardhi nchi nzima siku ya leo tu wameandikisha kesi ngapi ya migogoro ya ardhi.

Watanzania wata-mfix kwa kuzusha mauwongo ya kutisha. Kuna moja anataka kutafuta namna ya kukwepa kulipa kodi, atawachanganya watendaji wa serikali. Bwanamdogo tu wala siyo makamu wa rais anatoa amri ya matamko yasiyotekelezeka.
Inawezekana migogoro kuisha ikiwa tu nyie mawakil mtakimbiAlza mambo.kwan sisi hatufiki huko mabaraza? Kuna kes ipo waz kila kitu lakin kila siku nenda rudi
 
View attachment 2800177
Akizungumza katika hafla ya kukaribishwa jijini Dodoma, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda amesema kutokana na Serikali kutenga Bajeti kwaajili ya miradi ya Maendeleo kwaajili ya Wananchi, Chama kinawataka Mawaziri kuwasilisha Ripoti ya kazi zao katika Sekretarieti yake .

Ameongeza kuwa Waziri yeyote atakayekaa zaidi ya Robo Mwaka (Miezi Minne) bila kufanya kazi, bila kuwa na Ripoti ya utekelezaji wa kazi za Wizara na Ilani ya chama hicho atachukuliwa hatua kwasababu sasa ni wakati wa kuwatumikia Wananchi.
kazi meansa muzuri sana kwa kijana
jamuhuri wa muungano wa tansania , kazi waendeleee saidi.........
 
Hivi zile bato au oparesheni za Makonda mwenye kumbukumbu anipe mrejesho wa mafanikio au nimbwembwe kama hili tamko?
1. Oparesheni Madawa ya kulevya
2.Oparesheni usafi wajiji LA Dar
3.Oparesheni Mashoga
4.Oparesheni usije Dar kutoka mikoani kama huna shughuli mjini
5.Oparesheni kuwinda baba walitelekeza watoto
6.Oparesheni kukamata wanaume nakupima tenzi dume kwa nguvu.
Muda utapita kama ilivyokuwa Enzi ya mwanadamu...
 
View attachment 2800177
Akizungumza katika hafla ya kukaribishwa jijini Dodoma, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda amesema kutokana na Serikali kutenga Bajeti kwaajili ya miradi ya Maendeleo kwaajili ya Wananchi, Chama kinawataka Mawaziri kuwasilisha Ripoti ya kazi zao katika Sekretarieti yake .

Ameongeza kuwa Waziri yeyote atakayekaa zaidi ya Robo Mwaka (Miezi Minne) bila kufanya kazi, bila kuwa na Ripoti ya utekelezaji wa kazi za Wizara na Ilani ya chama hicho atachukuliwa hatua kwasababu sasa ni wakati wa kuwatumikia Wananchi.
Sasa hapo Kuna lolote jipya ...hizo taarifa zinaandaliwa miaka yote!
 
Back
Top Bottom