Makonda: Waziri akayekaa Robo Mwaka bila ripoti ya kazi atachukuliwa hatua

Makonda: Waziri akayekaa Robo Mwaka bila ripoti ya kazi atachukuliwa hatua

View attachment 2800177
Akizungumza katika hafla ya kukaribishwa jijini Dodoma, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda amesema kutokana na Serikali kutenga Bajeti kwaajili ya miradi ya Maendeleo kwaajili ya Wananchi, Chama kinawataka Mawaziri kuwasilisha Ripoti ya kazi zao katika Sekretarieti yake .

Ameongeza kuwa Waziri yeyote atakayekaa zaidi ya Robo Mwaka (Miezi Minne) bila kufanya kazi, bila kuwa na Ripoti ya utekelezaji wa kazi za Wizara na Ilani ya chama hicho atachukuliwa hatua kwasababu sasa ni wakati wa kuwatumikia Wananchi.
Kishindo cha Daudi....
 
View attachment 2800177
Akizungumza katika hafla ya kukaribishwa jijini Dodoma, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda amesema kutokana na Serikali kutenga Bajeti kwaajili ya miradi ya Maendeleo kwaajili ya Wananchi, Chama kinawataka Mawaziri kuwasilisha Ripoti ya kazi zao katika Sekretarieti yake .

Ameongeza kuwa Waziri yeyote atakayekaa zaidi ya Robo Mwaka (Miezi Minne) bila kufanya kazi, bila kuwa na Ripoti ya utekelezaji wa kazi za Wizara na Ilani ya chama hicho atachukuliwa hatua kwasababu sasa ni wakati wa kuwatumikia Wananchi.

Moyo wangu umefarijika sana. Nafahamu wachache tu wanamuelewa Cde Makonda. Endelea kutimiza majukumu yako, We all know it’s dangerous to be right where majority is wrong. Mungu akusimamie.
 
Hivi zile bato au oparesheni za Makonda mwenye kumbukumbu anipe mrejesho wa mafanikio au nimbwembwe kama hili tamko?
1. Oparesheni Madawa ya kulevya
2.Oparesheni usafi wajiji LA Dar
3.Oparesheni Mashoga
4.Oparesheni usije Dar kutoka mikoani kama huna shughuli mjini
5.Oparesheni kuwinda baba walitelekeza watoto
6.Oparesheni kukamata wanaume nakupima tenzi dume kwa nguvu.

Ni suala la muda. Just tune your mind for the next big thang to happen. Boomerang now is back .
 
Msomaji wa hiyo ripoti mwenyewe simuoni. Waziri hata akipeleka kabrasha lenye nyimbo za Zuchu Makonda na timu yake watalipokea na kulikubali. Zero ni zero tu.

Unaelewa teamwork maanake?. Do you think it’s that easy hata km sio msomi he’s surrounded with intellectuals who can pass through the files just one after another so all you need is to relax. He’s not that weak come ooooon!!
 
Hivi zile bato au oparesheni za Makonda mwenye kumbukumbu anipe mrejesho wa mafanikio au nimbwembwe kama hili tamko?
1. Oparesheni Madawa ya kulevya
2.Oparesheni usafi wajiji LA Dar
3.Oparesheni Mashoga
4.Oparesheni usije Dar kutoka mikoani kama huna shughuli mjini
5.Oparesheni kuwinda baba walitelekeza watoto
6.Oparesheni kukamata wanaume nakupima tenzi dume kwa nguvu.
Kwa taarifa yako zote zilipata mafanikio makubwa sana
 
Kama mpend maendeleo na wala sio kiushabik wala kushikiw akil na kina maranja.
Hivi utakua unaeneze kitu usichokijua kimetekelezwaje? Wote humu wasomi

Je, huwa hamtoi report? Na kwanin wat wanakaa kubisha bisha tu hata vitu vya logically, report imeombwa ifike sekretariet ambayo kimisng inapaswa ijue manifesto yao. Wananchi waliyoichagua imetekelezwa?

Ndio imetekelezwa kwa kasi kubwa ndio mana hata kwa mtogole sasa kuna lami.lakin hata mtu mwingine angekua mwenez atasimama vipi kuinad ilan asiyojua utekelezaj wake upo asilimia ngap?

Wap pamekwama, wap pamefanikiwa wap hivi wap vile. Mim nilidhani tulipaswa kusisimkwa mana wewe mwamanch unawez kuisoma ilan ukajua kumbe mahali fula ukurasa fulan kuna kitu na hakijafanywa ukapaza saut huon kama ungefaulu? Kila anayefanya kaz yupo anamuwakilisha amiri jesh kuitekeleza ilan.

Iwe Walimu iwe wap wote mnatekeleza ilan. Na sikusikia mahali muenez kaomba report iende kwake bali nimekaa nikasikia iende secretariat.
 
View attachment 2800177
Akizungumza katika hafla ya kukaribishwa jijini Dodoma, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda amesema kutokana na Serikali kutenga Bajeti kwaajili ya miradi ya Maendeleo kwaajili ya Wananchi, Chama kinawataka Mawaziri kuwasilisha Ripoti ya kazi zao katika Sekretarieti yake .

Ameongeza kuwa Waziri yeyote atakayekaa zaidi ya Robo Mwaka (Miezi Minne) bila kufanya kazi, bila kuwa na Ripoti ya utekelezaji wa kazi za Wizara na Ilani ya chama hicho atachukuliwa hatua kwasababu sasa ni wakati wa kuwatumikia Wananchi.

Wameyataka wenyewe. Ngoja awadharilishe
 
Back
Top Bottom