Makonda: Waziri akayekaa Robo Mwaka bila ripoti ya kazi atachukuliwa hatua

Aisome form four failure mwenzake, nape
 
Yaani wee acha tu. Full comedian. Mambo yanayofanyika ni kama nchi ya kufikirika which does not exist.
Sasa ndio tuwaeleweje? Kipind fulan mlikua kutwa kusema mambo hayaend. Kaja mtu anapush anafatilia nayo kelele
Sinyie mlikua kutwa kusema watu wa awam hii dhaifu hawang'ati, kaja mtu ana ng'ata nayo makeleleee
 
Usifanye mambo kuwa magumu hata yanapowezekana,kama walishindwa wengine kwake inawezekana,shida yenu wabongo mmezoezwa kubembelezwa mno😆😆na kama hujui mawaziri wako chini ya chama cha mapinduzi no hivyo wanaripoti kwa Makonda🤣🤣🤣🤣
 
Sasa ndio tuwaeleweje? Kipind fulan mlikua kutwa kusema mambo hayaend. Kaja mtu anapush anafatilia nayo kelele
Sinyie mlikua kutwa kusema watu wa awam hii dhaifu hawang'ati, kaja mtu ana ng'ata nayo makeleleee
Baadhi ya Wabongo hawajui ni nini wanataka kutoka kwa serikali yao😄😄😄
 
Uenezi ni kukinenea mazuri chama na kuelezea uzuri wa sera na mikakati ya utekelezaji sio kutoa amri kwa watendaji wa serikali, awangoje kwenye kamati na mikutano yao ya kisiasa ndipo awafokee kwa ruksa ya mwenyekiti.
 
Bashite kweli zero brain😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…