Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana mkuu!Apumzike kwa amani..
mwaka jana mwishoni,nilipata ajali ya namna hiyo,bado akumbuka ile moment nishakubali matokeo kwamba hapa naenda kugonga, nikikumbuka nasisimka.
Nashangaa mini sasa wakati ndugu zetu wawili mango na njeree wameshikiliwa na magaidi Hamas. Andamana sasa tukuone wewe siyo mnafiki.
Kuandama sio solution ,Hamas wamefanya makosa ya kuteka watu hovyo hilo sio jambo la kufurahia.Nashangaa mini sasa wakati ndugu zetu wawili mango na njeree wameshikiliwa na magaidi Hamas. Andamana sasa tukuone wewe siyo mnafiki.
indeed.So bad, sad news.
🙌🏿 haya banaKuandama sio solution ,Hamas wamefanya makosa ya kuteka watu hovyo hilo sio jambo la kufurahia.
Lakini utashangaa migalatia ambayo inaona Hamas ni magaidi inafurahi ukatili na mauaji ya kutisha ya wasio na hatia Gaza huku ikitype "safi sana Israeli endeleeni kutoa dozi"
Hapa alikua speed kama zote mpka gari haijulikani mbele ni wapiDaudi, mtoto wa pili wa Makongoro Nyerere, RC wa Rukwa amefariki dunia.
We will update this.
Habari zenyewe ni hivi: not for the faint- hearted.
Amekufa kwa ajali ya gari Arusha, mchana huu, kama saa saba hivi.
Alikuwa anaendesha gari, akaligonga lori kwa nyuma.
View attachment 2797058
View attachment 2797062
120 speed ndogo,hiyo gari ilikua zaidi ya 140Alikuwa anatembea si chini ya spidi 120. Hapo wanakuja kuzoa hawanyanyui kwa winchi hakuna cha kunyanyua hapo. R.I.P Daudi.
Shukrani mkuu, nishapoaga kaka.Pole sana mkuu!
Naambiwa,mdogo wake Daudi,)Prince (Charles Nyerere)ni race-car driver,ambaye a months ago ameshinda mbio za magari Zambia.Daudi, mtoto wa pili wa Makongoro Nyerere, RC wa Rukwa amefariki dunia.
We will update this.
Habari zenyewe ni hivi: not for the faint- hearted.
Amekufa kwa ajali ya gari Arusha, mchana huu, kama saa saba hivi.
Alikuwa anaendesha gari, akaligonga lori kwa nyuma.
View attachment 2797058
View attachment 2797062
Alitaka amfunike dogoN
Naambiwa,mdogo wake Daudi,)Prince (Charles Nyerere)ni race-car driver,ambaye a months ago ameshinda mbio za magari Zambia.
Halafu pia huyu Prince ni rubani wa commercial aeroplanes.
Loh! Mwendo!!!!Daudi, mtoto wa pili wa Makongoro Nyerere, RC wa Rukwa amefariki dunia.
We will update this.
Habari zenyewe ni hivi: not for the faint- hearted.
Amekufa kwa ajali ya gari Arusha, mchana huu, kama saa saba hivi.
Alikuwa anaendesha gari, akaligonga lori kwa nyuma.
View attachment 2797058
View attachment 2797062