uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Alikuwa 180 huyu maana mmhh
Namfaham, nimewahi panda gari lake once, niliposhuka nikamwambia kama tunaenda mahali nitaendesha mimi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa 180 huyu maana mmhh
Pole kwa Msiba wa Rafiki yako Mungu wetu yeye ni mfariji na yeye atakufariji kijana pole sana sana!
Matukio ya mwisho wa mwaka yameanza na ndo wakati wa Ma CCM yanafanya kafara za uchaguzi
Nacho jiuliza je hiyo gari ilikuwa ni zile za kuundwa bodi za Arusha? Mbona imesambaratika hivyo?Daudi, mtoto wa pili wa Makongoro Nyerere, RC wa Rukwa amefariki dunia.
We will update this.
Habari zenyewe ni hivi: not for the faint- hearted.
Amekufa kwa ajali ya gari Arusha, mchana huu, kama saa saba hivi.
Alikuwa anaendesha gari, akaligonga lori kwa nyuma.
View attachment 2797058
View attachment 2797062
Inashindwa kueleweka ni ISt au Run X maana imesambaratikaInaonekana alikuwa speed balaa. Manake gari imetawanyika.
RIP Daudi, kwa kugonga gari kwa nyuma na hii picha huo mzinga ultakuwa ulikuwa wa 180Daudi, mtoto wa pili wa Makongoro Nyerere, RC wa Rukwa amefariki dunia.
We will update this.
Habari zenyewe ni hivi: not for the faint- hearted.
Amekufa kwa ajali ya gari Arusha, mchana huu, kama saa saba hivi.
Alikuwa anaendesha gari, akaligonga lori kwa nyuma.
View attachment 2797431
View attachment 2797058
View attachment 2797062
Imesambaratika mno. Huyu jamaa speed yake ilikuwa kubwa sana. Pia nadhani hiyo gari yake itakuwa hizi za kijapani ambazo wengi wanaziita karatasi.Inashindwa kueleweka ni ISt au Run X maana imesambaratika
...Habari za Kifo' cha Ghafla, Sote tunakuwa Faint- hearted.Daudi, mtoto wa pili wa Makongoro Nyerere, RC wa Rukwa amefariki dunia.
We will update this.
Habari zenyewe ni hivi: not for the faint- hearted.
Amekufa kwa ajali ya gari Arusha, mchana huu, kama saa saba hivi.
Alikuwa anaendesha gari, akaligonga lori kwa nyuma.
View attachment 2797431
View attachment 2797058
View attachment 2797062
Alitaka amfunike dogo
Mungu wangu alikuwa anaenda spidi ngapiDaudi, mtoto wa pili wa Makongoro Nyerere, RC wa Rukwa amefariki dunia.
We will update this.
Habari zenyewe ni hivi: not for the faint- hearted.
Amekufa kwa ajali ya gari Arusha, mchana huu, kama saa saba hivi.
Alikuwa anaendesha gari, akaligonga lori kwa nyuma.
View attachment 2797431
View attachment 2797058
View attachment 2797062