Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Sasa mkuu si walianzisha ugomvi.Kuandama sio solution ,Hamas wamefanya makosa ya kuteka watu hovyo hilo sio jambo la kufurahia.
Lakini utashangaa migalatia ambayo inaona Hamas ni magaidi inafurahi ukatili na mauaji ya kutisha ya wasio na hatia Gaza huku ikitype "safi sana Israeli endeleeni kutoa dozi"
Waambie waache kuvaa kiraia na kujificha nyuma ya raia hao unaowaita wasio na hatia.
Akuanzae mmalize ndio sheria ya uwanja wa vita