TANZIA Makongoro Nyerere afiwa na mwanaye Daudi Nyerere

Nashangaa mini sasa wakati ndugu zetu wawili mango na njeree wameshikiliwa na magaidi Hamas. Andamana sasa tukuone wewe siyo mnafiki.
Kuandama sio solution ,Hamas wamefanya makosa ya kuteka watu hovyo hilo sio jambo la kufurahia.

Lakini utashangaa migalatia ambayo inaona Hamas ni magaidi inafurahi ukatili na mauaji ya kutisha ya wasio na hatia Gaza huku ikitype "safi sana Israeli endeleeni kutoa dozi"
 
🙌🏿 haya bana
 
Hapa alikua speed kama zote mpka gari haijulikani mbele ni wapi
 
N
Naambiwa,mdogo wake Daudi,)Prince (Charles Nyerere)ni race-car driver,ambaye a months ago ameshinda mbio za magari Zambia.
Halafu pia huyu Prince ni rubani wa commercial aeroplanes.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…