TANZIA Makongoro Nyerere afiwa na mwanaye Daudi Nyerere

Sasa mkuu si walianzisha ugomvi.
Waambie waache kuvaa kiraia na kujificha nyuma ya raia hao unaowaita wasio na hatia.
Akuanzae mmalize ndio sheria ya uwanja wa vita
 
Mkuu hata kama ingekuwa hammers kwa jinsi inavyoonekana alikuwa speed sana lazima ingesambaratika tu! Vijana waache ubitozi!
 
Mungu wangu alikuwa anaenda spidi ngapi

Sent using Jamii Forums mobile app
Atakuwa alikuwa zaidi ya 200km/hr. Ujinga mtupu! Niliwahi kupanda gari ya jamaa mmoja anatokea Kahama anaenda Mwanza. Mshale ukawa unalazimishwa kuvuka 220 nikamwambia acha ujinga dogo, kama huna majukumu sisi wenzio bado tuna majukumu! Eti linadai huwa sipendi kuona gari mbele yangu! Pumbavu kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…