King 999
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 5,872
- 8,374
Hii thread kama kweli imeandikwa na mshana basi itoshe kusema tu kwamba hapa "UMEFELI PAKUBWA BRO.
unafananisha kizazi cha 2023 na kizazi cha 1820?? Eti kjana hawez tembea hata kilomita 1?????
Kwa hyo kama mzee wangu hakuwaga na simu basi na mm nisiwe na simu? [emoji1]
unafananisha kizazi cha 2023 na kizazi cha 1820?? Eti kjana hawez tembea hata kilomita 1?????
Kwa hyo kama mzee wangu hakuwaga na simu basi na mm nisiwe na simu? [emoji1]