Siwezi kuyakana maandishi yangu na tafsiri yako na mfano wako ni jibu tosha kwamba hukuelewa kabisa mantiki ya mimi kuandika niliyoyaandika...Hii thread kama kweli imeandikwa na mshana basi itoshe kusema tu kwamba hapa "UMEFELI PAKUBWA BRO.
unafananisha kizazi cha 2023 na kizazi cha 1820?? Eti kjana hawez tembea hata kilomita 1?????
Kwa hyo kama mzee wangu hakuwaga na simu basi na mm nisiwe na simu? [emoji1]
Ahahahaahahahah haya bhana!!Siwezi kuyakana maandishi yangu na tafsiri yako na mfano wako ni jibu tosha kwamba hukuelewa kabisa mantiki ya mimi kuandika niliyoyaandika...
Ninashinda na vijana kila siku nilichoandika ndio uhalisia
🤣🤣🤣🤣 au yanakutana na mavijana ya ovyo makataa ndoa basi apo wanaona maisha washayapatiaYakitoka hapo yanaenda kusagana bila mashine bila nafaka
Mshamaliza kututukana?Wakuu Kichwamoto na moto wake
Naendelea kuanika ukweli waopinga kuoa na ndoa wengi ni hawana pesa , hawana nguvu za kiume, hawana viwanja, hawaja Jenga, wala bata za kimaskini, walevi wa gongo, wanavipesa uchwara vya mchicha, wanaogopa aibu. Inafahamika ukioa mke atajua kila kitu kuhusu mwanaume alivyo.
Nimemaliza episode zingine zinakuja.
Hivyo tu
Kichwamoto na moto wake
Mods wakorofi sana at times, maudhui yangu yanapaswa kuwa stand alone thread ila wameamua hivyo. we are no here to earn any credits or popularity with earnings.Mshamaliza kututukana?
#YNWA