Malezi ya sasa hivi ni mabovu kabisa

Hutakiwi kufanya hivyo vitu mbele ya watoto wako, wataiga tu!
 
sahihi kabisa mkuu
 
Watt wenyew wazaz mdio tuna wahatibu hv mtt mdog inanzaje mkukata nywele kama kichwa cha chn mtt wa kike mama leo nalala kwa kina Nancy
Kuna birthday sijui shule jratu mpk jpl huna tatjmin humo humo watt wananza kuharibika
 
Watt wenyew wazaz mdio tuna wahatibu hv mtt mdog inanzaje mkukata nywele kama kichwa cha chn mtt wa kike mama leo nalala kwa kina Nancy
Kuna birthday sijui shule jratu mpk jpl huna tatjmin humo humo watt wananza kuharibika
Faza umeandikaa 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Thank you. Unfortunately only women take the fall for the aftermath like a single mother is blamed by everybody but a single father anahurumiwa for raising three kids all alone even if alipata kwa 3 different women. It doesn't make sense at all
Kwani kati ya mwanaume na binti nani anatanua mapaja yake na kukubali kupokea mimba? Huyo binti kama anajielewa si akatae.
 
Wazazi wengi siku hizi hawatekelezi majukumu yao, hawahudumii watoto wao.
 
Zamani binti akibeba mimba anatimuliwa nyumbani akapambane huko maana anakuwa ameshakuwa mkubwa, saizi tunafurahia
Zamani wazazi walikuwa wanapambana kulima, kufuga, useremala n.k ili kuhudumia watoto wao na pia watoto muda mwingi walikuwa wana kazi za kufanya tofauti na sasa.
 
Pia kwa sababu ya watu kuishi mijini zaidi kuliko vijijini kama zamani ambapo mwanaume na mwanamke walikuwa wanakutana kisimani au mtoni tu wakati wanachota maji.
 

Kuna wale timu kataa ndoa, hao nao ni mchango wa tatizo. Wanajisifu kula tunda kimasihara, lakini hawataki kuwajibika. Sasa hapo utasema kuna mtoto wa kiume au sifuri. Mtoto wa kiume anadiriki kusema kwenye ndoa zenu kuna watoto wetu. Wakati enzi zetu tulikuwa tukipigania watoto. Hawa jamaa ni mbuzi kabisa. Na wengi wao ni akina kalubandika au wanaita Yahya, wenyewe siku hizi wanaita marioo. Hawana wanachokijua, wenyewe wanafikiria ngono tu. Hawajui kwamba wanapimwa kwa ngono wakiwa na umri wa chini ya 45. Lakini wakiwa zaidi ya hapo, hakuna kitu. Tena hawa kizazi cha chips yaani ndiyo kabisa. Matokeo yake wakiwa na miaka 45 tu unakuta mtu kachoka utafikiri ana 65+. Kitu kinachomtafuna ni hana hela kwa sababu muda ambao alitakiwa kutafuta hela yeye alikuwa akichakata mbususu, hana ndoa kwa sababu wakati wenzake wanajenga familia na kujenga uwezo wa kiuchumi yeye alikuwa akila bata na hana nguvu za kiume tena kwa sababu ni lofa, hana kitu. Anakuwa mtu wa kudharauliwa tu. Hatimaye presha inapanda anakufa. Kwisha habari yake
 
What about "men". So it's okay for them kuzaa hovyo hovyo cause hawabebi ujauzito?.. Kwa nini all the blame should be taken by women while men are the predators
Hata period za hao wanawake mpaka Leo hatujui vizuri zinafanyaje kazi hivyo hamuwezi kutulaumu kwenye mimba
 
Ndugu zangu hakuna bingwa wa malezi mtoto akiamua kukengeuka anakengeuka tu hata uwe mkali kama mzee Masawe au mzee Jumbe (i. e wazee wakaksi na wakali mtaana niliokulia) ila bado kuna watoto wao walishindikana na kuwa vivuruge kupita maelezo
 
Yote hii chimbuko lake ni kukosekana kwa baba mwenye msimamo na sauti ya kiume kwenye familia. Father's instill discipline kwa watoto. Ila sasa wababa wenyewe wapo bize wanalelewa. Itakuwaje sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…