Wote ni waarab na wahindi na tena wengi zaidi ni shia wala siyo suni kama wewe hata msikitini kwao hautakiwiHao hao unaowaita wavaa kobazi ndiyo wamiliki wa maghorofa mengi kuanzia Kariakoo, Upanga , Mnazi Mmoja na maeneo mengi ambayo ni potential.
Sasa hata ukiwaita majina yakupendazayo wala hawana muda na wewe wala hawakufahamu.
Umejuaje wanavaa makobazi😀😀😀? Unaweza kuta ndio Malaria 2Watoto wapumbavu sana. Kazi kufuga ndevu tu na kuvaa kobazi.
Nani huyo aliweka hiyo sheria ya thumni? Sijaelewa hapo.Unaleta ujuaji na huruma za hivyo...huyo mama haki yake katika mirathi ni kupewa thumni ya mali zote za urithi(yaani kama sijakosea anatakiwa apewe theluthi ya mali yote) na sio kupewa mali yote yeye kama mke au mama wa hao watoto....daraja la mama ni kubwa lakini aliweka hilo daraja ndio huyo huyo aliyempa haki ya kupata thumni katika urithi,kama alitaka haki yake basi wangekusanya mali zote kama zinauzwa halafu yeye apewe theluthi tu ndio haki yake......usilete huruma za kibidamu Mwenyezi Mungu kisha fafanua kila kitu....tamaa za hiyo familia wameshindwa kugawana mirathi kwa sheria za Mwenyezi Mungu wamekimbilia mahakamani hatimae limegeuka hata huyo mama kapewa tu lakini ataadhibiwa kwa kudhulumu haki za watu.
Hivi waliishiaga wapi hao?Mke wa lyatonga mrema na watoto wa mrema wanavaa kobazi na baibui?
Vijana wa hivi nimewashuhudia kinondoni sana na Mwananyamala aisee, Yan wao ubishoo mwingi ila ikifika jioni anarudi kwa mama kula na kulala jitu zima hd aibu aiseeHii mitoto ndio design unakuta zee zima mvi kila mahali linaishi "kwao" kutwa kucha kujadili Simba Yanga na kucheza bao na pool na kugongea sigara.
Hizo ndio culture za Kariakoo, Magomeni, Buguruni, Ilala and the like. Likijana likishabalehe fukuza likatafute maisha otherwise litakugeuka. Mengine yanaombea mzazi afe ili yarithi!
Urithi 😝Hao hao unaowaita wavaa kobazi ndiyo wamiliki wa maghorofa mengi kuanzia Kariakoo, Upanga , Mnazi Mmoja na maeneo mengi ambayo ni potential.
Sasa hata ukiwaita majina yakupendazayo wala hawana muda na wewe wala hawakufahamu.
Wewe niwale waleAmeshindaje kesi ya mirathi?
Wametumia sheria ya serikali au ya dini kama ni dini ya kiislamu sheria ya mirathi mama anatakiwa apewe thumni ya mali yote ya marehemu mumewe na sio kupewa nyumba nzima au mali zote!!!
Huruma zingine hazifai kufuata masheria ya kidunia na kutoa haki kwa asiyestahili kupata haki na kudhulumu wengine.
Nani ameweka hiyo sheria, sheria ya waarabu unasema Mungu kafafanua?Unaleta ujuaji na huruma za hivyo...huyo mama haki yake katika mirathi ni kupewa thumni ya mali zote za urithi(yaani kama sijakosea anatakiwa apewe theluthi ya mali yote) na sio kupewa mali yote yeye kama mke au mama wa hao watoto....daraja la mama ni kubwa lakini aliweka hilo daraja ndio huyo huyo aliyempa haki ya kupata thumni katika urithi,kama alitaka haki yake basi wangekusanya mali zote kama zinauzwa halafu yeye apewe theluthi tu ndio haki yake......usilete huruma za kibidamu Mwenyezi Mungu kisha fafanua kila kitu....tamaa za hiyo familia wameshindwa kugawana mirathi kwa sheria za Mwenyezi Mungu wamekimbilia mahakamani hatimae limegeuka hata huyo mama kapewa tu lakini ataadhibiwa kwa kudhulumu haki za watu.
Mnawadhulumu watu halafu mnawakashifu,eti wanyonge!Wanyonge wanapotafuta haki,wanapambana kila kona,kwa hiyo mama ana haki ya kushukuru kila sehemu alipopita wakati anaitafuta haki yake!!
Wavaa kobazi walikutoa bikra ya behind auWatoto wapumbavu sana. Kazi kufuga ndevu tu na kuvaa kobazi.
Serikali Haina dini mzeeZingatia Sharia ya Mnyaaz Mungu
Kwa muonekano wa huyo bibi last born wake hawezi kuwa under 35! Yote ni mizee ya Kariakoo wengi huishi kwa wazazi hadi wanakoshwa humo!Watoto wa Kariakoo maneno maneno mengi
Ndiyo tatizo la kulelea mitoto kinenani, unless kama walibaini kuna zoba 'kamkamata' mama yao na kuna dalili anajazwa mkenge kwa sababu ya mahaba ili waiuze na asepe na pesa.Hongera sana Mahakamankwa kutenda haki. Watoto watafute mali yao.
Familia za Kiswahili ndio zipo hivyo.Kuna familia zingine za ajabu sana
Mali ya mume na mke haiwezi kuwa ya watoto. Watoto wanapewa Kwa willing ya wazazi. Urithi siyo jambo la lazima, bali matakwa ya hiari ya wazaziNdiyo tatizo la kulelea mitoto kinenani, unless kama walibaini kuna zoba 'kamkamata' mama yao na kuna dalili anajazwa mkenge kwa sababu ya mahaba ili waiuze na asepe na pesa.
Nyumba ni yao wote(mama na watoto wake) ila kama ni kweli walikuwa wakimfukuza asifike(labda kwa ushauri wa wake zao kama wametoa kwani it very strange watoto kumfukuza mama yao) basi ni vizuri uamuzi uliotolewa.
NB: There are always different sides of the story, labda tukisikia upande wa watoto pia tutashangaa zaidi japo si lazima uwe ukweli hundred percent. Ukweli unaweza ukabaki kuwa mystery licha ya mahakama kuamua in favor of the mother lakini watoto kumfukuza mama yao that's a very terrible thing to do.
HahahahahaWatoto wapumbavu sana. Kazi kufuga ndevu tu na kuvaa kobazi.
Zungumzia hayo mengine mkuu, mirungi ikae pembeni, heshimu mirungi boss, inatoa sapot kubwa kwa sisi madereva wa in transitNa ni hao hao wanaombea wazazi wao wafe warithi mali ili wakatafune mirungi na kupakuliwa