Uchaguzi 2020 Mama Salma Kikwete achukua fomu ya kuwania kuteuliwa kugombea jimbo la Mchinga kupitia CCM

Salma Kikwete ambaye ni Mke wa Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete amechukua fomu ya kuwania kuteuliwa kugombea ubunge Jimbo la Mchinga mkoani Lindi kupita Chama cha Mapinduzi (CCM).

Huyu mama angetulia tu nyumbani na Rais Mstaafu Jakaya ingetosha, ameshakaa ikulu kama First Lady kwa miaka 10 na hatimaye kama mbunge wa kuteuliwa kwa miaka mitano. Ridhiwani anatosha kuweka alama ktk familia sasa ktk familia.
 
Anajiona Hillary Clinton wakati uwezo ni mdogo sana. Wacha wampitishe tutamgalagaza ili akapumzike vuzuri na aibu yake. Jimbo la Mchinga wimbo wetu wa kampeni ni ule wa Babu, wa Salma.
 
Kuna watu bila vyeo vya kisiasa wanajiona hawajakamilika.

Usishangae akajifanya Hilary Clinton kutaka kugombea urais.
 
Hahah wazee watamaindi kishenzi.

Hivi mkuu kwa hio huyo mama akipita kwny mchujo mume wake(JK) atakua nae anakuja kupanda jukwaani kumnadi sio?
Bill Clinton alifanya..... si kitu ya ajabu.
 
Acha fikra potofu mkuu, watu wanaoamini mtu hutafuta nafasi ya uongozi ili kujipatia pesa hafai kuwa kiongozi.
Ina maana Hilary Clinton huko kote alikopitia kisiasa ilikuwa ni sababu ya tamaa zake za pesa?

Mama Salma ni mwanasiasa Kama wanasiasa wengine. Kikwete kuwa Rais mstaafu siyo kizuizi cha familiya yake kushiriki siasa.

Acha familiya itumie damu na uzoefu wa JK kisiasa na kiungozi kuitumikia Tanzania, ndio talanta yao.
 
Kuna watu bila vyeo vya kisiasa wanajiona hawajakamilika.

Usishangae akajifanya Hilary Clinton kutaka kugombea urais.
Kwani shida itakuwa wapi?

Kuna kipengele cha Katiba kinachomzuia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…