Kafanya lipi la ajab ambalo kwa mwendazake halkuwepo?Wakati hayo yanafanyika huyo mama yako muimba taarabu alikuwa wapi katika serikali hii?
Mfike mahali mjifunze kuipenda nchi yenu na sio watu wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
RubbishNa hii ni very important, ile mikopo ya lile jinamizi ilikuwa ni ya muda mfupi na yenye riba kubwa sana.
Mataga mwisho wenu umefika the end😂🤣Rubbish
Na kwamba gharama za umeme lazima zipande na hakuna wa kunifanya chochote. Na kwa kauli hii nimejua kwanini Kalemani alifurumushwa, ni baada ya kusisitiza gharama za umeme kuwa 27,000 Tshs kote bila kujali mjini ama vijijini ...NILICHOJIFUNZA;
Mbali ya kumshambulia Ndugai amewaambia wananchi kwamba tozo sitapunguza hata mkilalamika na hamna cha kunifanya.
Nasema tena ulichokiandika ni rubbishMataga mwisho wenu umefika the end😂🤣
Recycle basi.Nasema tena ulichokiandika ni rubbish
Siasa zetu na za Kenya ni tofauti......Imagine having "square pegs in round holes".
Nguzo Zina pembe nne harafu mashimo ni ya duara!
Hivo ndivyo walivyo Wana ccm,harafu Wana ccm ni wepesi sana Wana "ngozi raini na nyembamba mno".
Yaani maoni tu,Raisi wa nchi anapaniki balaa,sasa hebu fikiria tungekuwa na demokrasia kama ya Kenya,Makamu wa Raisi anakupinga wazi wazi,anakupa makavu,wqbunge wa chama chako wanakutusi hadharani!!huyu mama angekufa kwa kihoro
Umeandika ushuziNyakat za mwendambingun watu wawil au watatu wanajichimbia ikulu na kuamua kukopa mihela kimya kimya halafu mzee akitoka barabarani anawaaminisha watu nchi ina mihela mingi na hawakopi.
Ameondoka kaliacha linchi halina kitu na mamirad kibao+miden mikubwa mikubwa...tena nadhan hyo vp ndiye anapaswa tumning'inize coz ndiy alikuwa anashirikiana na mzee kutupiga mchanga machoni. Kibaya sana mama naye akakubal kirahis tu huyo m-kigoma awe vice wake.
Leo wale walioshirikiana na mwendazake ndiy wanataka kumsulubu mama,ashindwe kutekeleza mamirad yale and then watujie na porojo za "Mama amefeli'....hapana,na tuseme hapana wamwache mama afanye kaz..over!
Yule alikuwa raisi mzuri sana lkn CDM kwa kuwa mlikaririshwa na Mbowe mtapinga tu.......Yule alikuwa anasifiwa na Wamachinga na Wajinga wachache.
raisi mzuri sana
Kiujumla nnamchora kama kiongozi, ambae yupo daraja la Kati, kwa ujumla ametumia bunduki kuuwa ndege, kwa nn, kwa sabab 1 tu kiongozi Bora kabisa huwa Hana maamzi ya hisia, hasa kwa nafasi ya urasi, huwa anapima, anachambua, anashauliwa na anachanganya na zake,Yafuatayo ndio nimejifunza kutokana na hotuba ya Jana.
1. Rais amekasirishwa na maoni yaliyotolewa na speaker Ndugai kuhusu mikopo.
2. Rais amemshambulia speaker Ndugai at individual capacity na sio Kama speaker kwenye maoni kuhusu mikopo.
3. Rais amehaidi kukopa zaidi na mpaka Sasa wamepata commitment ya trillion 7 Kama mkopo nafuu.
4. Mikopo anayochukua Rais Samiah ni ya masharti nafuu, kwa maana hayana riba.
5. Serikali kwa Sasa inakopa ili ikalipe madeni ambayo yameanza kumature.
6. Rais anaamini ya kwamba maendeleo yanapatikana kwa kukopa.
7. Rais anaamini yeye siyo Rais wa Kwanza kukopa na kwamba huko nyuma tuliwahi kukopa sana mpaka tukaitwa high indebtet country.
8. Rais anaamini kwamba mkopo wake ndio Bora kuliko mikopo mingine yote ambayo awamu zingine zilizopita zilikopa.
9. Rais amekiri tozo ni kidogo haziwezi kuleta maendeleo, hivyo tutakopa na kutoza kwa wakati mmoja.
10. Rais anaamini kwamba wananchi wameridhika na tozo hivyo tozo zitaendelea sana.
11. Rais amekiri ya kwamba Tanzania sio ya kwanza kutoza hata nchi kubwa huko zina tozo nyingi.
12. Rais anaamini adui yake mkubwa yupo ndani ya CCM na sio upinzani.
13. Rais hafanyi maendeleo kwa ajili ya mwaka 2025, Bali kwa ajili ya Watanzania.
14. Rais anaamini kuna baadhi ya mawaziri wanafanya kazi kwa ajili ya 2025, na anania ya kuwaondoa.
15. Rais anaamini wanaompinga kwa Sasa Ni wale waliokuwa wanamdharau kwamba hataweza majukumu ya kuleta maendeleo Sasa wanashangaa anafanya maendeleo.
16. Mwisho, nilichojifunza ni kwamba kiongozi yeyote ndani ya CCM atakaye toa maoni tofauti kwenye suala la mikopo atachukuliwa ana malengo ya kumpinga Rais na yupo kwenye kundi la maadui linalotaka urais.
Wewe Kama mwanajamii forum ulijifunza Jambo gani kutoka kwenye hotuba ya Rais Jana?.
Mwaka upi tena? Huu wenye siku 5 tu?Huu mwaka bora uishe tuu::
OVER:
Ndio mkuu huu huu...we uon ulivojaa mambo!!Mwaka upi tena? Huu wenye siku 5 tu?