Mastamind
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 1,304
- 830
Unamaanisha International School of Tanganyika[emoji44]Tupia mkuu m4 kitu gani kwani..
Utaleta mrejesho..
Au nawewe umehongwa IST maana unavyolalamika na iyo 4m
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamaanisha International School of Tanganyika[emoji44]Tupia mkuu m4 kitu gani kwani..
Utaleta mrejesho..
Au nawewe umehongwa IST maana unavyolalamika na iyo 4m
[emoji23]Nilinisurika kujiunga, nilienda first presentation maeneo ya mlimani city, nikakuta wao ni partnership na man city.. Nlipotoka sku hiyo sikurudi tenaaaa.
Huwezi kuwa rafiki na adui yangu nikakusapoti. Good morning
Presentation ya pili ndo full doze lazima upledgeNilinisurika kujiunga, nilienda first presentation maeneo ya mlimani city, nikakuta wao ni partnership na man city.. Nlipotoka sku hiyo sikurudi tenaaaa.
Huwezi kuwa rafiki na adui yangu nikakusapoti. Good morning
Sasa mkuu ningeendaje wakati wamebandika ma picha ya man city alafu wameandika "our team"Presentation ya pili ndo full doze lazima upledge
Wakat ww ni Yanga[emoji23]Sasa mkuu ningeendaje wakati wamebandika ma picha ya man city alafu wameandika "our team"
Kwahiyo mkuu wewe walikupata baada ya presentation ya pili?Presentation ya pili ndo full doze lazima upledge
[emoji23]Kuna mwenzako alileta thread humu alinunulishwa saa ya mill 5 analialia hana wa kumuuzia
Na ww nunua ulete mrejesho mkuu
Naomba link mkuu ya hyo thread ya MlalamikajiKuna mwenzako alileta thread humu alinunulishwa saa ya mill 5 analialia hana wa kumuuzia
Na ww nunua ulete mrejesho mkuu
Binafsi nakushauri bora ukalime.Jamani habari za jioni?
Tafadhali naombeni mawazo yenu juu ya Q-NET maana kuna jamaa zangu wa karibu wanasema ni njia mpya ya kukuza kipato.
Kama kuna wenye uelewa na uzoefu juu ya kampuni ya Q-NET naomba mnipe mwongozo na mawazo yenu.
Nawasilisha.
Ni kweli ni biashara nzuri sana kwa watu walio wavivu wa kufikiri.Jamani habari za jioni?
Tafadhali naombeni mawazo yenu juu ya Q-NET maana kuna jamaa zangu wa karibu wanasema ni njia mpya ya kukuza kipato.
Kama kuna wenye uelewa na uzoefu juu ya kampuni ya Q-NET naomba mnipe mwongozo na mawazo yenu.
Nawasilisha.
Duuuh naomba nieleweshe zaidi mkuu!Huko haukuzi kipato ilaa unatapeliwa na Kugeuzwa ndondocha...!! achaa huo upuuzi mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]