Mambo 30 usiyoyajua kuhusu utapeli wa Q-Net (Network Marketing)

Mambo 30 usiyoyajua kuhusu utapeli wa Q-Net (Network Marketing)

Nasikia eti vijana wa qnet wana drive rangerover wengi ni matajiri .. pia ndani ya miaka 2 unakua umeingiza dolla 100000
 
[emoji23][emoji23]Good morning
Kufika tu napewa hii salamu nikajiuliza saa hivi ni saa 9 alasiri sasa hii Good morning ya nini!!?? Baadae jamaa akanipa ufafanuzi wa hii salamu kwa nini wanaitumia mchana hadi usiku

Fafanua mkuu kwann wanaitumia Good Morning muda wote?
 
Nasikia eti vijana wa qnet wana drive rangerover wengi ni matajiri .. pia ndani ya miaka 2 unakua umeingiza dolla 100000
Mkuu walikuwa na kikao pale m/city, sikuona range hata moja zaidi ya baby walker chache, wengi walikuja na daladala
 
We don't try narudia mungu wako mkubwa kukufanya uje humu uulize mbona hill jmbo limezungumziwa sana humu kila mara
 
Mkuu walikuwa na kikao pale m/city, sikuona range hata moja zaidi ya baby walker chache, wengi walikuja na daladala
[emoji1] [emoji1] [emoji1] sasa niliambiwa ukiingia tu baada ya miaka miwili naanza kumiliki range rover
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] sasa niliambiwa ukiingia tu baada ya miaka miwili naanza kumiliki range rover
hatari sana, mimi ndugu yangu mmoja aliniingiza mkenge niliwasikiliza hiyo siku ya kwanza kinafiki nikaambiwa nihudhurie presentation ya pili kesho yake. Nilikata mawasiliano kabisa, sitaki hata kupokea simu yake
 
Watu wa ajabu sana kuna mdada kanishawishi siku moja nikaendaa, nilipofka jinsi wanavyoshawishi tu nikajua watanipotezea muda. Ukitoa tu pesa imekula kwako , itabidi uwe mtumwa ili pesa yako irudi. Oo mi nilikua mkurugenzi nikaacha , mara nilikuaa Doctor upuuzi mtupu
Huyo ambaye alikua ananipa darasa la ushawishi aliniambia alikua dokta tena kasomea muhimbili mi nilikua namchora tu ila hizi biashara za mitandaoni ni usumbufu mtupu
 
Fafanua mkuu kwann wanaitumia Good Morning muda wote?
Wanadai Asubuhi unapoamka unakua active katika kutenda mambo mbalimbali tofauti na nyakati za mchana na usiku so wao wanatumia good morning nyakati zote kuonesha kwamba ukijiunga na QNET basi wewe utakua active muda wote kutafuta hela ndo slogan yao hiyo
 
Kumbuka huu msemo, " If a deal is too good to be true, then it is too good to be true"

Huyo house mate wako hana ndugu na wazee wa kuwaingiza kama ana uhakika na kipato kikubwa kiasi hicho.

Kama ingekuwa hilo deal ni kweli basi yeye mwenyewe angeingia kwa majina 10 tofauti kama CCM wanavopiga kura!
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kumbe maisha yao kama sisi tu
Ndo hivyo mkuu, ila ukiingia mkenge wakishakupumbaza hali inaweza kuwa ngumu zaidi, lazima kuna kitu nyuma ya pazia.
 
Mimi juzi nikapigiwa simu na Dada mmoja nafanya nae kazi wizara moja but Mimi nipo mkoa yeye yupo hapa Dar kanambia ana maongezi na Mimi kwakuwa nipo dar tuonane nikamwambia poa kesho ntakuja kwako akasema hapana tukutane mlimani city nkamwambia poa bahati mbaya kesho yake nikapata udhuru nikamwambia dada sintofika naomba tuongee kwenye simu akadai mpk tuonane nikasema poa.wkend ilofata nikamwambia kesho tuonane akasema poa maeneo yale Yale ya city sa3.Asubuhi nikafika ubungo nikampigia umekaa maeneo gani ndani au nje akasema usiingie ndani njoo mpk round about ya mlimani then kunja kama unaenda Sinza.Basi nikakunja nikaenda kama 1km mbele kuna kanisa nikalivuka ndo namuona Dada kasimama balabalani nikasimama nikapaki gari tukaingia nilichokuta mle Good morning ndo salamu hata usiku wakanipa somo lao nikawaagalia nikamwambia ntakuja ila kilichoniuma ni yule Dada yangu kalizwa bila kujua sasa masikini kwakuwa ananipenda akasema ngoja nimpe bro maisha.sasa nashindwa kumwambia ukweli kuwa Dada yangu umelizwa japo kuwa Mimi nilimwambia baada ya kufika hapa home kuwa sintaludi huko pesa sina
 
Ni Marketing network
Wanadai kuungwa kwenye hyo network yao mpk ununue bidhaa ya ujazo wa 3BV i.e kuanzia 4M ndio unakua partner
Na ww ukipata mwingine na kumuunga kwa kununua bidhaa ya ujazo huo na kuendelea unabonus ya $200
Naomba kusaidiwa kwa waliojiunga tayar
Kuna faida yoyote kweli mnayonufaikaa nayo, maana kutupia 4M kwa usawa huu wa JOHN ni parefu
Hii Salamu yao ya "GOOD MORNING" muda wote iwe Asbh, Mchana na hata Usiku ina maana gani?
 
Ni Marketing network
Wanadai kuungwa kwenye hyo network yao mpk ununue bidhaa ya ujazo wa 3BV i.e kuanzia 4M ndio unakua partner
Na ww ukipata mwingine na kumuunga kwa kununua bidhaa ya ujazo huo na kuendelea unabonus ya $200
Naomba kusaidiwa kwa waliojiunga tayar
Kuna faida yoyote kweli mnayonufaikaa nayo, maana kutupia 4M kwa usawa huu wa JOHN ni parefu
Hii Salamu yao ya "GOOD MORNING" muda wote iwe Asbh, Mchana na hata Usiku ina maana gani?
Sio Freemason ila kama hujawahi kufanya network marketing don't even think of investing hyo PESA
 
Back
Top Bottom