Midekoo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 45,757
- 246,786
Mimi nanunua bidhaa nyingi kwa ajili ya biashara unanunua mfano ktk mwezi product 50, zinakufikia 30. Tena kwa maseller walewale nimeachana nao. Bora AliExpress na AmazonPole sana, mimi nimetumia sana eBay sijawahi kupigwa,kwa uzoefu wangu mara nyingi sisi wanunuzi ndio tunakosea wakati wa ununuzi.