Nitapoteza muda na gharama pia, halafu hawakunikaba maeneo ya office zao. Utapeli wao nitawachoma wanajipatia fedha za upatu na money laundering 😠😠😠😠😠Sasa bosi si ungeenda polisi ....au toa ramani watu wakusaidie kuipata haki yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitapoteza muda na gharama pia, halafu hawakunikaba maeneo ya office zao. Utapeli wao nitawachoma wanajipatia fedha za upatu na money laundering 😠😠😠😠😠Sasa bosi si ungeenda polisi ....au toa ramani watu wakusaidie kuipata haki yako
Huu ni uwezo binafsi wa mtu! Darasa ni chumba Tu cha kujifunzia elimu na elimu ni Yale mafunzo anayopata mtu, so acha kukariri.Darasa la saba unajua kuandika vizuri hivi?? Hii ni chai tena,chai kavu
HakikaPole sana... wamekufanya fursa...
Huu uandishi na technical knowledge yako ya kuandika in a chronological sequence inanipa mashaka saana na darasa lako la Saba.Nitapoteza muda na gharama pia, halafu hawakunikaba maeneo ya office zao. Utapeli wao nitawachoma wanajipatia fedha za upatu na money laundering [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
Atakuwa darasa la saba ila siyo La Saba ya TanzaniaHuu uandishi na technical knowledge yako ya kuandika in a chronological sequence inanipa mashaka saana na darasa lako la Saba.
Je ni kweli la Saba ya manuva tu?
Yes mkuu, wanaweza kufika 40 tena ni wadogo inawezekana wengi ni Wanachuo. Huyo nyumba ipo mtaa ule ule karibu na Ile Sheli ya Meru unaingia upande wa kushoto kama unaelekea Goba kuna kimto kinatiririsha maji unavuka hiyo nyumba ipo hapoHiyo nyumba ipo sehemu gani? Kwa hiyo humo ndani kuna vijana kama 40 hivi? Kuanzia getini?
Tatizo mnakariri elimu ya darasani kuliko vipaji binafsiHuu uandishi na technical knowledge yako ya kuandika in a chronological sequence inanipa mashaka saana na darasa lako la Saba.
Je ni kweli la Saba ya manuva tu?
Itakuwa darasa la saba la miaka ya 80Darasa la saba unajua kuandika vizuri hivi?? Hii ni chai tena,chai kavu
2000sItakuwa darasa la saba la miaka ya 80
Nitampataje mkuu?Mtafute mzee Abdul nimeona ana kazi kibaha
Dah, pole sana kijanaIki kitu ulicho andika ni really kabisa na Mimi ilinitokea the same like you na rafik angu nimesoma nae shule moja advance alinitangulia darasa moja
Baada ya kumaliza shule nikawa Sina issue jamaa akanambia ana mishe anatak anipe niende mbezi kuiona nikafunga safar kutoka external Hadi mbezi nafika mbez namtafuta simu ikawa aipokelew baad ya muda akanicheck ananambia samahan nlkua kweny kikao offisin nikasem yes kaz si ii bhna nitaend first year nikiw nipo full
Sasa nikamwambia aje kunifata nimefika mbezi na shangaa jamaa ananambia sasa inabid upande magar ya kuja makabe kituo nilichoshuka nishakisahau jina
Nilipofika uko jamaa akanifata akiw kavaa smart ad nikataman nkajua itakua anafundish private school tukatembea kufika mbele tukaingia kwny nyumba kubwa yeny gate nikaambiw nisubil nje yote nitayajua nikifik ndani jamaa alikataa kabisa kunielezea kinachoendelea
Uku nje wanapita vijan na mabint wamevaa smart kule ndan nilkua nasikia saut wanasalimian good morning wanaitikia kwa pamoj good morning nikahisi kabis ni mamb ya ufreemason baad ya mda nikaingia ndani wakaanz kujitambulish wakinipongez rafik angu ananipend amenilet kwny kitu cheny ela
Basi tukaingia kwny chumb kama apo mshikaj alivyoelezea wakaanz mamb yao nilipogundua ni Qnet nkapat amani
Kwakufupish baada ya kuondok mshikaj alinambia nilud tena siku yoyot ya wiki inayofuata ili nijiunge rasmi sikulud tena jamaa alinitfut kwny simu Hadi akachoka
Awa watu wanazngua sana Wana mamb ya kishamba
😃😃😃Nishapoa imepit kam miaka miwili sasaDah, pole sana kijana
Sawa!Mshkaji anatuchora hamn la Saba hapo angalia hata logic yake kujibu maswali na uelewa wa vitu. Br degree imekutupa mkono unatafuta kazi za la 7 pole yametukuta wengi hhh(just joking)
Yaan Wana mambo ya kishamba Sana hasa Yale maneno meengiIki kitu ulicho andika ni really kabisa na Mimi ilinitokea the same like you na rafik angu nimesoma nae shule moja advance alinitangulia darasa moja
Baada ya kumaliza shule nikawa Sina issue jamaa akanambia ana mishe anatak anipe niende mbezi kuiona nikafunga safar kutoka external Hadi mbezi nafika mbez namtafuta simu ikawa aipokelew baad ya muda akanicheck ananambia samahan nlkua kweny kikao offisin nikasem yes kaz si ii bhna nitaend first year nikiw nipo full
Sasa nikamwambia aje kunifata nimefika mbezi na shangaa jamaa ananambia sasa inabid upande magar ya kuja makabe kituo nilichoshuka nishakisahau jina
Nilipofika uko jamaa akanifata akiw kavaa smart ad nikataman nkajua itakua anafundish private school tukatembea kufika mbele tukaingia kwny nyumba kubwa yeny gate nikaambiw nisubil nje yote nitayajua nikifik ndani jamaa alikataa kabisa kunielezea kinachoendelea
Uku nje wanapita vijan na mabint wamevaa smart kule ndan nilkua nasikia saut wanasalimian good morning wanaitikia kwa pamoj good morning nikahisi kabis ni mamb ya ufreemason baad ya mda nikaingia ndani wakaanz kujitambulish wakinipongez rafik angu ananipend amenilet kwny kitu cheny ela
Basi tukaingia kwny chumb kama apo mshikaj alivyoelezea wakaanz mamb yao nilipogundua ni Qnet nkapat amani
Kwakufupish baada ya kuondok mshikaj alinambia nilud tena siku yoyot ya wiki inayofuata ili nijiunge rasmi sikulud tena jamaa alinitfut kwny simu Hadi akachoka
Awa watu wanazngua sana Wana mamb ya kishamba
Hawakutaka hela yoyote?😃😃😃Nishapoa imepit kam miaka miwili sasa
Asikawambie mtu unaitiwa kazi halaf ujui ni kazi gani
Ela wanatak wanasem mamb ya point sijui unanunua bidhaa yenye ujazo wa volume kadhaa nishasahau ni ngap ila bidhaa zenyew ni kama saa,dawa,vipodoz au unalipia course yakusom online alaf baada ya apo unawaalika watu wawili wengn nao wataalika so as chain goes ndo na ww unavyopata elaHawakutaka hela yoyote?