Mambo ambayo ni uongo lakini yanajulikana ni kweli kwa wengi

Hii mada ya Leo ni msumali wa moto
Unaunguza nafsi, moyo mpaka akili
Piga na upande wa pili wavaa kobaz
Piga na upande Marasi
Piga na upande wa nne wapagani
Piga na upande wa Tano wasioamini kwamba Kuna Mungu na Miungu
Piga upande wanaoamini dini zao za jadi
 
Hiyo ni mifano, wewe umesema usimsaidie mzazi kwa sababu hakuweka saving,

mim nimekutolea mifano tunawasaidia wazazi wetu wakiwa wazee kwa sababu ya circumstances tofauti tofauti kitu wewe ambacho wewe unapinga

Kiufupi wewe ni mtoto na hujui maisha, ukiwa kijana na nguvu, unahisi utakua fresh all the time lakin maisha hayako hivyo Ila ukikua utajua
 

Wapi nimesema usimsaidie Mzazi?
Mbona unawaza mambo yako kichwani alafu unanilisha mimi, Acha uongo.
Embu nukuu hiyo sehemu niliyosema usimsaidie Mzazi.

Jitahidi ukiwa kwenye mijadala uwe na Utulivu wa Akili ndipo utoe hoja zako.
Kuliko unavyoendekeza mihemko ya kihisia. Alafu kama ni MTU mzima ndio haileti picha nzuri, mihemko Kwa Watu wazima ni aibu na mara nyingi huwadhalilisha.

Kama hukuelewa ungeuliza
 
Logically uongo + uongo= Ukweli
Na sio uongo kama ulivyoandika. Karudie tena kusoma Logic implication.
Uongo+Uongo=Kweli kuwa ni uongo .

Ukitoa ushahidi wa kwanza ukaonekana ni uongo,ukatoa ushahidi wa pili nap ukaonekana ni uongo, hitimisho lake kwamba kweli wewe ni muongo.
 
Unazidi kupotea dogo, kadri siku zinavyosonga ndivyo unavyozidi kuandika pumba.

Ulipata umaarufu kwa kuandika mada konki ila sasa unaandika utumbo tu.

Kipi ni pumba hapo?
Ingefaa ujadili Kwa hoja. Alafu siandiki ili niwe maarufu au nipate chochote, naandika ukweli na Haki.
Ukiona nimeandika Jambo kinyume na Haki na ukweli hapo uje uniseme tena Kwa hoja.
 

Nimeona nianzie huku kwetu ili nisionekane Mbaya. Ukitaka kumulika nyoka unaanzia miguuni Mwako.
Ningeenda Kwa Ndugu zetu waislam wangesema ninawasakam kisa Mimi mkristo
 
Au unaambiwa kuna Laana ya Wazazi, lakini unakuja kuona wapo wanasiowaheshimu wazazi wao lakini wanaishi Kwa furaha na Maisha ya mafanikio, muda huohuo kuna wanaowaheshimu wazazi wao lakini wanateseka. Mwisho unahitimisha ni UONGO hakuna kitu kama hicho.

Heshima ni pamoja na kusaidia wazazi
 
Kufanikiwa ni matokeo ya kutumia akili juu ya kiwango cha kawaida na si vinginevyo. Sio laana, sio baraka.
Akili inakufanya ujue jinsi dunia ya mali inavyokwenda.
Acha uongo kufanikiwa kwa asilimia kubwa kwanza ni bahati then ndo yaje hayo mambo ya akili hakuna asiyetaka kufanikiwa kimaisha ila wanaofanikiwa mbona sio wote.
 

Sio kweli.
Kusaidia Ipo kipengele cha upendo.

Unapomsaidia mzazi wako sio kwamba unamheshimu Bali unampenda.
Heshima inahusu Mamlaka, utawala, Oda, maonyo, maadili,..

Upendo unahusu kujali, kuhudumia, kufariji, n.k.

Tofautisha hayo mambo.

Kuna Jambo moja hautanielewa kama utatumia mihemko kusoma ninayondikaga.
 
Acha uongo kufanikiwa kwa asilimia kubwa kwanza ni bahati then ndo yaje hayo mambo ya akili hakuna asiyetaka kufanikiwa kimaisha ila wanaofanikiwa mbona sio wote.
Bahati ni nini? Bahati ni kitu ambacho hakipo. Inaaminika tu kuwa ipo lkn haipo. Hayo ni maneno ya jamii kuelezea mambo yaliyo juu ya uwezo wao.
 
Nimekuelewa

Leo kiu kilikuwa kimekubana sana ndio maana umeandika kidogo
 

Hujui maana ya shukrani wewe sisi waislam tunafundishwa kushukuru kwa kila jambo jema, na shukrani yako kwa mungu haimsaidii kitu zaidi ni kuonyesha unyenyekevu na umuhimu wa jambo alilokupa.
 
Yesu ni Mungu,
Wakati huohuo Yesu ni mwana wa Mungu
=>UONGO
 
Ukikipenda kitu ni rahisi sana kukiheshimu, huwez sema unampenda mtu alafu umheshimu umeshaona wapi mfano mwanamke akikupenda atakushimu na atakua tayari kujitoa Kwa ajili yako, ukiwapenda wazazi wako utawaheshimu na kujitoa Kwa ajili yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…