Mambo ambayo wabongo wengi wanaamini lakini ni uongo

Mkuu hizo ulizotaja sio za kweli hata kidogo😅😅
Mtoto njiti anahusiana vipi na masterbation..
Kwanza masterbation sio dhambi..
Akija mtu akwambie ni dhambi mwambie akuonyeshe andiko..
Ila ni kosa la kimaadili na kisaikolojia
😂😂Sijasema ni kweli nachosema ndo watu wanavyotishiana... afu mambo ya dhambi watasema onan alimwaga nje so ni sawa na Puchu. In short ni bullshit.. ila mambo ya dini hayanihusu ila mentally excessive masturbating ni jau ila physically Mara moja moja sio mbaya kwa afya
 
Onani alikuwa anafanya ila akamwaga chini (nje) na hakupiga mjegeje
 
Sijachukulia serious mkuu, ndiyo maana kuna emoji hapo
 
Mkuu umemaliza kila kitu, sitii neno
 
Mashoga wote wana laana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…