Mambo gani huwa unafanya ukiwa na msongo wa mawazo ama mtu akikukera?

Mambo gani huwa unafanya ukiwa na msongo wa mawazo ama mtu akikukera?

1. Nasumbua sumbua JF kutwa ugomvi ugomvi usio na kichwa wala miguu😂😂😂

2. Nalala

NB: mnaolia mnanitamanisha jamani sijui kulia kwa hisia,yaani ninaweza kulia mara chozi halitoki au sauti haitoki sasa kulia gani huko naona aah naboreka tu bora kulala.
 
Mimi nafanya hivi
1. Nakula vizuri, chakula nachokipenda
2. Natoka kwenda kutembea
3. Nalala
4. Nalia sanaaaaaaa
5. Naenda kununua nguo mpya
6. Nafanya usafi
Na mengine mengi

Wewe je?
Lengo ni kuwapa experience wanaopitia wakati mgumu,wanaweza kupata ideas mbili tatu

Uzi tayari
Huu ni msongo wa mawazo wa kishua.
Mi nikilia compesation ya machozi yangu ni mtu nimtoe damu😕
 
Back
Top Bottom