Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Mzee wangu 👊Next time nichek nikuhug my dear
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wangu 👊Next time nichek nikuhug my dear
Tukiwa mbali na ile external yetu?Mwl Mwakasege huwa anakua anaujumbe kwa ajili yangu
Pole sana.Huu ni msongo wa mawazo wa kishua.
Mi nikilia compesation ya machozi yangu ni mtu nimtoe damu😕
Labda kama mnamabifu yenu binafsi,kipi cha ajabu hapa cha kufanya mtu apigwe bankutaka kunichonganisha nao sio
naendelea poa dpl, Natumai kila kitu kiko poa.Nipo nipo IB, za uzima?
1. Nasumbua sumbua JF kutwa ugomvi ugomvi usio na kichwa wala miguu😂😂😂
2. Nalala
NB: mnaolia mnanitamanisha jamani sijui kulia kwa hisia,yaani ninaweza kulia mara chozi halitoki au sauti haitoki sasa kulia gani huko naona aah naboreka tu bora kulala.
Unachotaka nikiseme sisemi, siingii mtego huo kamwee.Tukiwa mbali na ile external yetu?
Haha nimekumbuka 🏃🏃 uwa hatuongei, ni kusinzia tu…
Wanatakiwa kulia sana.Wanaume nao wana haki ya kulia,nao wana moyo
Yes my son, wewe ukiwa na msongo huwa unafanya niniMzee wangu 👊
Ki ukweli mimi huwa naongea na mama mzazi na huwa namwambia kila kitu then hapo zitapigwa story mpaka nitasahau
kuna lile vibe la mashabiki linapunguza stress na kuona sura mpya za watu asilimia fulani inaondoa mawazo.Kwenda kiwanja cha mpira ukiwa na mawazo ni amazing...na beach
Yaa!Hapa JF?
1. naoga muda mrefu,
2. Napiga live band mwenyewe, performing songs I like.
3, nasikiliza inner songs with meaning.
4, nakula chakula Sana.
5, natazama filamu.
6, nasafiri muda au saa yoyote, hii nafanya Sana.
7, natembelea migahawa mbali mbali.
8, napigia washkaji simu, wa kike au kiume.
9, naenda kukaa na familia niliyo toka ❤️ ❤️
Hahahaha 😂 😂 nmechekaaLabda kama mnamabifu yenu binafsi,kipi cha ajabu hapa cha kufanya mtu apigwe ban
Anyway tuyaache usije kupigwa ban ukanilaumu bure my dear
Unapiga nyeto daily jinsi kenge wanavyokukeraMm hua napiga nyeto, nikikirusha tuu kile kimoja bc ni sawa na nmemtoa huyo aliyeniudhi na kubaki na amani ya moyo