Mambo gani huwa unafanya ukiwa na msongo wa mawazo ama mtu akikukera?

Mambo gani huwa unafanya ukiwa na msongo wa mawazo ama mtu akikukera?

1. naoga muda mrefu,
2. Napiga live band mwenyewe, performing songs I like.
3, nasikiliza inner songs with meaning.
4, nakula chakula Sana.
5, natazama filamu.
6, nasafiri muda au saa yoyote, hii nafanya Sana.
7, natembelea migahawa mbali mbali.
8, napigia washkaji simu, wa kike au kiume.
9, naenda kukaa na familia niliyo toka ❤️ ❤️.
10, nacheza games.
 
Back
Top Bottom