Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimelia 🤣🤣Unachotaka nikiseme sisemi, siingii mtego huo kamwee.
Ulipotea sana depal,Hahaaaa welcome ya kibabeee
Happy New Year girlie 😍
Kwahiyo wewe inapiga au unapigwaHii ya miti hata mimi huwa inanisaidia sana kiukweli
Aseeh natumia muda huo kuzungumza na watu hasa wakaribu though sitawaeleza chochote Ila sauti ya ndani ikiniambia mpgie dada, basi akipokea tuu nakuwa sawa!!Yes my son, wewe ukiwa na msongo huwa unafanya nini
Tusolve kiafrica unachapwa ulie na unachapwa unyamaze.. respect africaNimelia 🤣🤣
Pepsi big ya bariidiii inatosha.
Kisha natembea tembea hapo home sikai chini mahali pamoja muda mrefu.
Naenda narudi naenda narudi hadi saa 8 usiku toka jioni.
Sitaki maswali au kelele yeyote.
Sipokei simu labda nihisi ya jambo muhimu sana.
Naingia JF natoka, naingia natoka. Na refresh page kila mara nione New Posts.
Nitafute manzi mmoja nimbetue kisawasawa hapo ndio nakaa vizuri kuna manzi alikua anaitumia hio weakness km advantageWewe je?
yap, una oga huku una imba au kusikiliza mziki.Kuoga nayo ni 👌
Msongo umeisha sasaHahahaha 😂 😂 nmechekaa
Wifi upo? 😹Nimecheka balaa
Kwamba unautandaza utajiri wotee
Ndio una viscosity nzuri kuliko mlenda uliopoaYani? 😂
Mbona mlenda vugu vugu tena
uuuuwwwiiiiiiiiiiiii umenkumbusha tenaMsongo umeisha sasa
Utanongeka sasa jirani 😹😹1.kula ( nikiwa na stress nakula sana mkuu )
2.Japo ya kitoto ila huwa inanisaidia sana,. Huwa nachukua karatasi na peni naandika kila kitu kinachonisumbua na kunikera yaani like namuhadithia mtu hivi,. Nikimaliza nachana chana basi😂😂😂
Naam, kwa kiasi chake imepungua ila bado si sana.Kwasababu ya maoni ya wadau? Ni kweli kuna muda sisi wachangiaji tunazingua sana mtu akija na tatizo lake....lakini naona siku hizi tunajitahidi