Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
sasa nkila ban utajoke na nanHapana my dear just joking tu,,mi mtu wa happy sana yan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa nkila ban utajoke na nanHapana my dear just joking tu,,mi mtu wa happy sana yan
Kwanini unanifokea ninaposema ukweli wangu?We dogo utakufa 😹😹
🤣 noted, ili nisisahau kulog in.. Hivi kunani kwani? Maana niliona memes inasema kama kesho unaenda Kazini basi hiyo sio kazi..Kutakuwa welcome party yako mapema kesho, 😆
Sisi weekend tunaimaliza J4...Napenda kumshukuru mama Samia kwa hili
Happy New year to you babe ❤...hope ulikuwa poa ulivyopotea
Umeonaa eeh yan hata sijui itakuwajesasa nkila ban utajoke na nan
utalia pekeakoUmeonaa eeh yan hata sijui itakuwaje
Trust me hiyo njia ya pili ni njia moja kubwa sana, imewasaidia watu wengi na nina pendekeza kama kuna mtu anapitia MSONGO WA MAWAZO (Depression) sio STRESS (MAWAZO) maana hapo juu nimeona wengi wameizungumzia hasira na stress, mtu mwenye msongo wa mawazo (depression) hawezi kula, kusex wala kulala, depression ni kitu kikubwa sana, anyway,1.kula ( nikiwa na stress nakula sana mkuu )
2.Japo ya kitoto ila huwa inanisaidia sana,. Huwa nachukua karatasi na peni naandika kila kitu kinachonisumbua na kunikera yaani like namuhadithia mtu hivi,. Nikimaliza nachana chana basi😂😂😂
acha walie vitu ziwatoke 🤣Sema wote mkiwahiwa mtapona
Niliwamiss 😁Ulipotea sana depal,
Tumefurahi kukuona
Mbona unajimilikisha ghafla hivyo 😹😹Kwanini unanifokea ninaposema ukweli wangu?
Iweje kuyakiri mapungufu yako ni kosa, wakati kila mtu anayo?
Kwenye safari ya kupona punyeto, inatakiwa uwe muwazi ili dhamira isikutese.
Unajua siri zinaumiza nafsi ee?
Haujambo lakini mke?😅
😹😹😹Hela tena😂😋. Em fungua geti kwani maana mie naogopa mbwa wenu
kulia nacho kipaji sio kila mtu anaweza, napenda kuona ke wangu akilia ili nimbembeleze.acha walie vitu ziwatoke 🤣
Nasi pia.Niliwamiss [emoji16]
Kwahiyo akijichanganya kujiliza inakula kwake?kulia nacho kipaji sio kila mtu anaweza, napenda kuona ke wangu akilia ili nimbembeleze.
With happy endingKwahiyo akijichanganya kujiliza inakula kwake?
Tajiri kabisa1. naoga muda mrefu,
2. Napiga live band mwenyewe, performing songs I like.
3, nasikiliza inner songs with meaning.
4, nakula chakula Sana.
5, natazama filamu.
6, nasafiri muda au saa yoyote, hii nafanya Sana.
7, natembelea migahawa mbali mbali.
8, napigia washkaji simu, wa kike au kiume.
9, naenda kukaa na familia niliyo toka ❤️ ❤️.
10, nacheza games.