makutupora
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,089
- 4,086
Mkuu😁😁😹😹Nilijua me unalia hadi kwikwi😁🤣👐
Next time nichek nikuhug my dearnaliaaa huku nasindikizwa na mziki
Ndo sasa hapa nakuchek unihug...Next time nichek nikuhug my dear
Mwl Mwakasege huwa anakua anaujumbe kwa ajili yanguMziki tu… tena hizi spiritual chants ndo waaaa nakusahau dakika.
Mkuu huo upande uwa tunatokaje Certified Hater 😁😁
SawasawaKuandika yanayokusibu sio style ya kitoto
Sio kweli, siku ukivurugwa ntakuwa pale kwa ajili yako,how come mtoto mzur utulizwe na mziki wakati tupo around my dearNdo sasa hapa nakuchek unihug...
Kujia mimi tafadhali kabla id yangu haijawekwa ripSio kweli, siku ukivurugwa ntakuwa pale kwa ajili yako,how come mtoto mzur utulizwe na mziki wakati tupo around my dear
Huu ni msongo wa mawazo wa kishua.Mimi nafanya hivi
1. Nakula vizuri, chakula nachokipenda
2. Natoka kwenda kutembea
3. Nalala
4. Nalia sanaaaaaaa
5. Naenda kununua nguo mpya
6. Nafanya usafi
Na mengine mengi
Wewe je?
Lengo ni kuwapa experience wanaopitia wakati mgumu,wanaweza kupata ideas mbili tatu
Uzi tayari
Hapa kiwanda cha kuzalisha stress.Nimecheka kwa huzuni
Watu wanaopitia hali ya hivyo waje tu JF watafurahi kiasi