Mamilioni ya pesa anayotaka Jackline Mengi kwa ajili ya malezi ya watoto wake haya hapa!

Mamilioni ya pesa anayotaka Jackline Mengi kwa ajili ya malezi ya watoto wake haya hapa!

Ila mzee Mengi jamani. Ona anavyowasababishia matatizo watoto wake. Starehe million 90 du hivi huyu Jack jamani anataka kuwa tajiri mwanamke number moja Africa ?
Hiyo 90M kwa mwaka ni takribani USD 38500 si pesa ya kutisha kwa kustarehe kwa watoto 2 + mama yao + beki tatu kwa wenye pesa zao.

Sisi tusio nazo ndio tunaona pesa nyingi.

Tukaze matako kutafuta pesa nasi mwaka mmoja tuwe na matumizi ya luxury zaidi ya 90M kwa mwaka.
 
Hiyo 90M kwa mwaka ni takribani USD 38500 si pesa ya kutisha kwa kustarehe kwa watoto 2 + mama yao + beki tatu kwa wenye pesa zao.

Sisi tusio nazo ndio tunaona pesa nyingi.

Tukaze matako kutafuta pesa nasi mwaka mmoja tuwe na matumizi ya zaidi ya 90M kwa mwaka.
Kama baba yao yupo yes. Sasa anawaomba watu ambao si wazazi wa hao watoto. Yeye kama mzazi ana uwezo wa kutoa hizo pesa? Tuanzie hapo kwanza.
 
Hakika huyu dada ni jambazi yaani kiunua mgongo cha mfanyakazi aliyenyonywa kwa miaka 40 ye ndo anataka kama starehe. Hao watoto starehe ipi zaidi ya kwenda kuogelea na kula aiskrim
 
Back
Top Bottom