Mamilioni ya pesa anayotaka Jackline Mengi kwa ajili ya malezi ya watoto wake haya hapa!

Mamilioni ya pesa anayotaka Jackline Mengi kwa ajili ya malezi ya watoto wake haya hapa!

Huo mpunga unajenga vituo vya afya viwili au madarasa ya covid 35.
 
Infact yeye hana mchango wowote. Hao watoto ni kitega uchumi chake. Matumizi million 15 kwa mwezi jamani. Hao watoto wanakula dhahabu?

Hehehehe hao watoto hawajaishi kimaskini kumbuka mzee alikuwa bilionea unategemea nin watoto mboga saba hao
 
Huyu sister anaweza akauuwa mie navyojua the real chagga ambaye Ni mmachame wengine Kama warombo n.k Ni vyaasaka tu Ila real chagga ambaye alianza kuuona ulaya Ni mmachame.

Ila Ni kweli kwa wahindi hatusikii hii makitu ama waarabu.

Binafsi napendekeza kuoana karibukaribu jamani binafsi nilioa koo ambayo iko karibu yaani history yao inajulikana na sio kisa binti akanivutia kwa nje.

Yaani mkiwa karibu hata kufanyiana umafia Ni kazi mno Kuna Kama karoho kanakusuta.

Nimwambie tu ukiwa nje ulionana na mweusi mwenzako lazima afurahi atabasamu so jiulize why anafurahi. Hata ukiwa umedondoka chini yeye ndiye atapita kukuuliza Kuna Nini angalau aone lkama anaweza akakusaidia
Uzuri wa wachaaga kelele kibao, mnabaguana mpaka wenyewe kwa wenyewe
 
Anataka pesa kutoka kwenye mali za baba ya hao watoto.
Ndio ila baba yao kutokana na kwamba yeye ndiye baba alikuwa na namna na juhudi za kipekee na za aina yake kabisa katika kuzinyumbulisha hizo mali kuhakikisha zinazalisha kiasi hicho cha oesa alichowapa. Hawa wasimamizi sio baba wa watoto na wala hawana njia kama zile za baba yao katika kuzitumia mali
 
Hawa wanaume sijui huwa wanawaza nini kwenda kuoa watoto wao.

Mengi na utajiri wake ameacha matatizo lukuki.

Bila mengi kuzaa na jack.

Mali zake zilikuwa zinahama kwenye blood line yake miaka isiyozidi 20 mbele.

Kuzaa na jack mengi hajakosea kabisa. Maana watoto wake wa mwanzo walikuwa hawataki kuoa wala kuzaa na wameshafika miaka 50 wote. Sasa wakifariki mali zingeenda kwa nani?
 
Sijaona shida ya Mengi. Shida ni ubinafsi wa watoto na baadhi ya ndugu wanaoachwa.Mwanaume anaejitambua anatamani akifa msiba wake uwe na hadhi ya namna Mungu alivyomjalia.Tumeliona kwa Ryatonga pia. Mwanaume kufa una mke ni hadhi, zipo taratibu huenda hata mwanao hasihusike pengine hata ndugu wa karibu ! Mfano, mkeo atakutawadha, huenda pasipo gloves. Ni kukosa hekima tu kwa wahusika. Mali ni kitu gani! Mbona mwenye nazo kaziacha!
 
Back
Top Bottom