Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pisi kali za kichagga hazijui mapenzi. Mzee akaona kwa nini apate tabu.Uchagani kuna pisi kali kibao huyu mzee wetu alishindwa vipi kuimport pisi matata toka uchagani.
Ila kuoa uzeeni don't try this at home
Mapenzi na uzee wapi na wapi.Pisi kali za kichagga hazijui mapenzi. Mzee akaona kwa nini apate tabu.
Tena ukute umeoa "pangu pakavu"Kuoa uzeeni ni kuleta balaa nyumbani
Malizia kila mwaka mpaka watoto wafike 18yrsYaani ni shilingi za Kitanzania MILIONI MIA SABA THEMANINI NA TANO, LAKI NANE ELFU TISINI NA MIA TISA SITINI bila senti. (785,890,960/=)
Aisee!
Mambo mengine ni Aibu na yanatia HasiraInfact yeye hana mchango wowote. Hao watoto ni kitega uchumi chake. Matumizi million 15 kwa mwezi jamani. Hao watoto wanakula dhahabu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan had nimeshangaaa.Ila mzee Mengi jamani. Ona anavyowasababishia matatizo watoto wake. Starehe million 90 du hivi huyu Jack jamani anataka kuwa tajiri mwanamke number moja Africa?
Sasa kwani yupo, mali zake haziwezi kuwa mbadala wa yeye..., daladala bila dereva si kitu, na huwezi tegemea hawa madereva wa deiwaka waliokabidhiwa basi kwa mida wakawa na ujanja wa kupakia abiria na kuingiza pesa kama dereva wa awali, japo basini lile lile na ruti ni ile ile..Wewe kwako unaona kubwa ila Mzee Mengi hizo alikua anazimudu na aliwahudumia..
Mali zake ni yeye.. alafu emu unapoandika tumia logic usiandike andike tu mradi umeandika... Ni sawa wewe leo ufe alafu watu waseme hauna hati miliki ya mali zako umenipata tafakari tena alafu ujemali zake haziwezi kuwa mbadala wa yeye...
Unaweza kuwapitia ila sio kwa kufunga ndoa,kufunga ndoa na hawa madogo ni ujinga acha aishie kula vi laki lakiNdio maana mimi na umri wangu na kustaafu kwangu mabinti nawaogopa sana,wao wanawaza pesa tu sio mapenzi.
Yaani binti awe mzuri vipi au akae uchi mm napita tu maana najua hii ni hatari kwa maisha yangu ya sasa na yajayo.
Wastaafu tutulie njia kuu au tutafute wazee wenzetu,tukihangaika na hawa mabinti wa mwendokasi imekula kwetu mazima tukiwa hai au kaburini.
yaani ni shida kubwa. bora kubaki singo tuKuoa uzeeni ni kuleta balaa nyumbani
Hakuna ujambazi hapo Mengi kaacha mali kwa ajili ya watoto wake , sasa wanaozing'ang'ania ni zao ?Huyu mwanamke ni jambazi tu.
kabx ndgu[emoji109]Jackline ni Dada yako? Tafuta vyako usitegemee mali ya shemeji yako marehemu Reginald mengi,
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sio wachaga tuu washamba woteee uzeen ndo wanaona pa kuanzia kula starehe na makahaba