Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee acha tu mkuu, kuna jirani yangu kule kijijini miaka ya 1995 anaendesha range, maana mjini alikua vizuri sana, na ana ghorofa hapo manzese adi leo lipo...Dogo anatembeza sumu ya mende kunguni kiroboto door to door [emoji23][emoji23][emoji23] wakati mzee wake aliacha B1
Sheria inataka maamuzi hayo ayafanye akiwa na akili timamu na sio wakati ‘dishi’ limeyumba, pia maamuzi yako yasivunje sheria zingine zinazoongoza ugawaji wa mali.Mwenye mali ndio anaamua kuhusu mali zake ale na nani? Watoto hawana nguvu kwa mwenye mali
Hili ndio jibu..!Bila mengi kuzaa na jack.
Mali zake zilikuwa zinahama kwenye blood line yake miaka isiyozidi 20 mbele.
Kuzaa na jack mengi hajakosea kabisa. Maana watoto wake wa mwanzo walikuwa hawataki kuoa wala kuzaa na wameshafika miaka 50 wote. Sasa wakifariki mali zingeenda kwa nani?
Kwa madon pesa ndogo iyo nenda serengeti pale wanashuka wakina beckham na mashuhuri kwa siku mtu anatumia mpaka milioni 20Starehe 90M???! Kudadeki walahi
Tatizo sio udogo au ukubwa wa pesa tatizo ni value of money kwamba je iyo pesa inaenda mahali stahiki? Mchango wa jack katika mafanikio ya Mzee Mengi haujafikia uhalali wa kukunja mkwanja mkubwa ivyo ingekua ni yule mke wake aliefariki tungesema sawa maana walihustle pamoja kuanzia chiniHiyo 90M kwa mwaka ni takribani USD 38500 si pesa ya kutisha kwa kustarehe kwa watoto 2 + mama yao + beki tatu kwa wenye pesa zao.
Sisi tusio nazo ndio tunaona pesa nyingi.
Tukaze matako kutafuta pesa nasi mwaka mmoja tuwe na matumizi ya luxury zaidi ya 90M kwa mwaka.
Sheria ya child support ifanyiwe marekebisho mzazi anaekaa na mtoto ndio anatakiwa kutimiza gharama zote za matunzo kama uwezo hana au anataka watoto waishi maisha ya luxury ambayo hawezi kumudu basi ampeleke mtoto kwa mzazi mwenzake au mlezi aliepewa jukumu la matunzo ya mtoto kuliko kusumbuana sumbuanaKama baba yao yupo yes. Sasa anawaomba watu ambao si wazazi wa hao watoto. Yeye kama mzazi ana uwezo wa kutoa hizo pesa? Tuanzie hapo kwanza.
Hana hela ya kuwalipa.. Wanamtomba tuAna tamaa Sana Jacky na Kuna wanasheria ktk hii kesi wanapiga pesa Sanaa!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mzee mengi hata kipindi akiwa maji ya moto alikua kiwembe wakina madam ritta hawa ashapiga sana mashine enzi izo wakiwa bado mabinti wabichi tu labda ukiwembe alienda nao mpaka uzeeniSio wachaga tuu washamba woteee uzeen ndo wanaona pa kuanzia kula starehe na makahaba
Mtafute vya kwenu, mimi ndio naamua pesa yangu nakula na naniBaba zetu mkikua acheni kuokota Malaya wa mijini mnatupa tabu wanenu
Shida ni kwamba mama yao anataka kuwachonganisha hao watoto na ndugu zake. Alifoji wosia wa tamaa na kutaka kujimilikisha IPP yote mwenyewe. Huo ni upuuzi na sijui aliingizwa mjini na matapeli gani..Hili ndio jibu..!
Hao kina Abduel na Regina sijui walifungwa wapi na nini /Nani... ..Wana shida sehemu ...
haKuna hata mwenye ndoa Wala mtoto.. wawaache wadogo zao waendeleze ukoo.. ..
Mzee Naye alikosea angegawa Kama zawadi kabla hajafa.. ..
Hapana ongezea za matumizi kwa mweziTena hizo ni kwa mwaka tu.
Nashangaa wengi wanakuunga mkno. Wako mamilioni waliooa uzeeni na wakaishi vizuri. Na kuna mamilioni walioa ujanani, na wakaishia pabaya. Tusichukuwe matukio machache kuandika hitimisho. Ni kuonyesha ufupi wa akili.Kuoa uzeeni ni kuleta balaa nyumbani
Mbona kuna ndoa nyingi za vijana zenye ugomvi wa mirathi? Usiwe kama yule kipofu aliyepata uwezo wa kuona kwa sekunde moja, akaona mwezi. Bada ya kurudi katika hali ya upofu akawa kila akimbiwa kitu chenye sifa fulani huwa anafananisha na mwezi.Washua mkisha zeeka msioe hawa wanawake wachanga hususani hawa wanao angalia panapo fuka moshi mtasababisha uzao wenu uteseke na kusumbuana na kurogana saana. Mkisha zeeka wazee wetu tafuteni wa bibi wenzenu.